Kuvurugika kwa siku za mke wangu

Kuvurugika kwa siku za mke wangu

Atakuwa alitumia sana zile sindano za kuzuia mimba. Mwambie aache halafu muende hospital kuna dawa watawapa za kusawazisha
Sio kweli..hata kuwa ma stress tu za muda inaleta hormonal imbalance...plus kuadd sana weight nayo inachangia sana..thats why wanawake wengi siku hizi wana hiyo shida...ni lifestyle change ..kupunguza uzito na kujitahidi kuacha stress
 
Siri za ndani hazitolewagi hovyo kama unamwaga mchele au pumba kwa kuku... kwann usiende na mkeo kwa mtaalam au mbobezi wa maswala hayo uje umwage siri hapa jamii forums, una umri gani Comrade?! 😀
 
Back
Top Bottom