Kuvurugika kwa siku za mke wangu

Kuvurugika kwa siku za mke wangu

winderboy

Member
Joined
Mar 8, 2022
Posts
36
Reaction score
27
Habari za jioni ndugu zangu?

Mke wangu anatatizo siku zake zina mvurugiko yaani hazijakaa sawa na mpaka sasa hana mimba. Je, mwanamke anapokuwa na tatizo hili anaweza kushika mimba? Pia, tatizo hili linamfanya mwanamke akose hamu ya tendo la ndoa?

Maana mke wangu tatizo hilo analo pia, tuna mwaka wa pili sasa kuna kipindi cha nyuma alikuwa kama ana mimba dalili zake zote alikuwa nazo nikasema hii yenyewe kumbe hola.je dawa gani atumie kuondoa tatizo hata hizi dawa za kienyeji itapendeza zaidi.

Samahanini kwa mwandiko m- baya na haraka ila msaada wenu ni muhimu kwangu najua humu kuna watu wa fani mbali mbali madoctor na wataaluma wa dawa za asili.
 
Habari za jioni ndugu zangu?

Mke wangu anatatizo siku zake zina mvurugiko yaani hazijakaa sawa na mpaka sasa hana mimba. Je, mwanamke anapokuwa na tatizo hili anaweza kushika mimba? Pia, tatizo hili linamfanya mwanamke akose hamu ya tendo la ndoa?

Maana mke wangu tatizo hilo analo pia, tuna mwaka wa pili sasa kuna kipindi cha nyuma alikuwa kama ana mimba dalili zake zote alikuwa nazo nikasema hii yenyewe kumbe hola.je dawa gani atumie kuondoa tatizo hata hizi dawa za kienyeji itapendeza zaidi.

Samahanini kwa mwandiko m- baya na haraka ila msaada wenu ni muhimu kwangu najua humu kuna watu wa fani mbali mbali madoctor na wataaluma wa dawa za asili.
Nendeni kwenye hospitali kubwa mkamuone daktari bingwa wa magonjwa ya wanawake, kwa ufumbuzi zaidi. Muhimbili Hospital, Kairuki Hospital, nk.
 
Atakuwa alitumia sana zile sindano za kuzuia mimba. Mwambie aache halafu muende hospital kuna dawa watawapa za kusawazisha
 
Habari za jioni ndugu zangu?

Mke wangu anatatizo siku zake zina mvurugiko yaani hazijakaa sawa na mpaka sasa hana mimba. Je, mwanamke anapokuwa na tatizo hili anaweza kushika mimba? Pia, tatizo hili linamfanya mwanamke akose hamu ya tendo la ndoa?

Maana mke wangu tatizo hilo analo pia, tuna mwaka wa pili sasa kuna kipindi cha nyuma alikuwa kama ana mimba dalili zake zote alikuwa nazo nikasema hii yenyewe kumbe hola.je dawa gani atumie kuondoa tatizo hata hizi dawa za kienyeji itapendeza zaidi.

Samahanini kwa mwandiko m- baya na haraka ila msaada wenu ni muhimu kwangu najua humu kuna watu wa fani mbali mbali madoctor na wataaluma wa dawa za asili.
Mkuu nimeku PM huko maelezo yote nimeweka kacheki tu
 
Habari za jioni ndugu zangu?

Mke wangu anatatizo siku zake zina mvurugiko yaani hazijakaa sawa na mpaka sasa hana mimba. Je, mwanamke anapokuwa na tatizo hili anaweza kushika mimba? Pia, tatizo hili linamfanya mwanamke akose hamu ya tendo la ndoa?

Maana mke wangu tatizo hilo analo pia, tuna mwaka wa pili sasa kuna kipindi cha nyuma alikuwa kama ana mimba dalili zake zote alikuwa nazo nikasema hii yenyewe kumbe hola.je dawa gani atumie kuondoa tatizo hata hizi dawa za kienyeji itapendeza zaidi.

Samahanini kwa mwandiko m- baya na haraka ila msaada wenu ni muhimu kwangu najua humu kuna watu wa fani mbali mbali madoctor na wataaluma wa dawa za asili.

Tatizo hapa ni hormone zake hazija balance aende hospital atapewa dawa na atabeba mimba
 
Chukua ushauri wa wengi..nenda hospitali.... Usiende pm kwa yeyote... majibu ya uhakika hospital tu. ....

Una bima? Hata kama huna sio garama sana...kuna vipimo kwakuwa ni mara ya kwanza kwa ajili kujua tatizo..... Asiogope ni mambo ya kawaida kwa wanawake.
 
Back
Top Bottom