Kwa maelezo ya Mh. Rais alipokua anahitimisha Bunge la Katiba (aliita kitchen party) alisema Tarehe 20/08/2015 ndio siku ya kuvunja Bunge rasmi na hapo mawaziri wote wanatakiwa kukabithi ofisi. Na tuliambiwa sherehe kubwa (harusi ya kumtoa Mwali) ingefanyika
Mheshimiwa Rais kulikoni?
Mheshimiwa Rais kulikoni?