cha1509
JF-Expert Member
- Jul 6, 2018
- 258
- 403
Nimeona watu wengi humu wakiwa wanaulizia mishahara kwenye kada mbalimbali nadhani Hawa ni form four leaver ambao hawajui hata confidentiality!
Huwezi kujua mshahara kabla hujaingia huko, niwaombe tu acheni uvulana huo wa kuuliza vimaswali vya kisichanasichana! Onyesheni ukomavu wenu tuone kama mmebarehe kweli, tofauti na hapo mtazidi kuonekana mmevunja nyungo[emoji16] shezy typ
Sent using Jamii Forums mobile app
Huwezi kujua mshahara kabla hujaingia huko, niwaombe tu acheni uvulana huo wa kuuliza vimaswali vya kisichanasichana! Onyesheni ukomavu wenu tuone kama mmebarehe kweli, tofauti na hapo mtazidi kuonekana mmevunja nyungo[emoji16] shezy typ
Sent using Jamii Forums mobile app