wengine wanapata dalili kama za kupata siku mfano, kiuno kuuma, maziwa kujaa na kuuma pia.
Maumivu ya tumbo kwa wale wenye chango, na kichefchef pia kwa walio wengi.
Dalili ni baada ya wiki mbili tangu mimbe kutungwa
Baada ya mwezi mmoja atatizamia kama siku zake atazipata. Asipozipata ni dalali y kwanza hiyo. mwezi wa pili mwishoni wa tatu mwanzoni ataanza kujihisi kuchoka bila sababu, kutotamani karibia vitu vingi, kichefuchefu/kutapika. Hasira.