Kuuliza sio ujinga

Kuuliza sio ujinga

kama ni mwembamba baada ya miezi 3
kama ni mfupi baada ya miezi 2
kama ni mrefu na mnene baada ya miezi 5
 
K nime wapata enhe zime pita siku tatu kapima na UTP imeonyesha hana je ni siku za kupima au
 
wengine wanapata dalili kama za kupata siku mfano, kiuno kuuma, maziwa kujaa na kuuma pia.
Maumivu ya tumbo kwa wale wenye chango, na kichefchef pia kwa walio wengi.
Dalili ni baada ya wiki mbili tangu mimbe kutungwa
 
Sio lazma kichef chef na kutapika...havihusiani. Inategemea mtu na mtu.

Wew unayeulizia muonekano wa mimba..nini shida yako???
 
Baada ya mwezi mmoja atatizamia kama siku zake atazipata. Asipozipata ni dalali y kwanza hiyo. mwezi wa pili mwishoni wa tatu mwanzoni ataanza kujihisi kuchoka bila sababu, kutotamani karibia vitu vingi, kichefuchefu/kutapika. Hasira.
 
Back
Top Bottom