Kuuliza si ujinga , nijuzeni wajuvi

Kuuliza si ujinga , nijuzeni wajuvi

Abu Haarith

JF-Expert Member
Joined
Oct 16, 2015
Posts
314
Reaction score
165
Habari wakuu wa idara ya MMU leo nimeona nisiendelee kukaa kimya wenda nyie mnafahamu kuhusu hili suala la KIBAMIA mara kadhaa husikia kuhusu sisi wanaume kutaniwa kuwa tunavibamia naomba mnifahamishe uume ambao ndio umepewa jina la kibamia ni ukubwa wa Inch ngapi?



Kama mada haijakuvutia sio lazima uchangie pita hivi, heshima ni kitu cha bure tuzingatie sheria za jukwaa, natangaliza shukrani.
 
according to google, micropenis (kibamia) , ni 3 inches na kushuka chini mkuu
 
Mi nahisi mtu kumuita mwenzie kibamia inategemea kwake pia pana ukubwa wa namna gani!!! Hahaha kwa mwajuma inaeza kibamia ila kwa mwanaheri ikawa bonge la dude
we ni mwajuma au mwanaheri?
 
Hamnaga kibamia wala kingogwe ni wewe tuu na mautundu yako
 
Inapopita FUSO na inapopita RAV4 ni tofauti, pa fuso lazima barabara itadidimia au kutikisika hata kama dereva ni learner
 
Back
Top Bottom