Nuraty J
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 1,724
- 3,834
Habar,
Jamani kuna mtu anataka kunitumia ela toka Uganda namdai, ivi kuna njia gani anaweza akatumia ili kunitumia ela??
na mimi Sina account ya bank nilikombaga akiba yote nikafunga akaunt yenyewe ela nikampa boyfriend wangu akalipie ada hatma yk ntaanzishia thread siku zijazo, ila nimekoma kupenda hakyamungu
Jamani kuna mtu anataka kunitumia ela toka Uganda namdai, ivi kuna njia gani anaweza akatumia ili kunitumia ela??
na mimi Sina account ya bank nilikombaga akiba yote nikafunga akaunt yenyewe ela nikampa boyfriend wangu akalipie ada hatma yk ntaanzishia thread siku zijazo, ila nimekoma kupenda hakyamungu