Mwanamageuko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 8,602
- 5,573
HATARI SANA! Huku ndiko nchi inakopelekwa kwa kasi ya kimondoMwakyembe nae Mke anaumwa yupo ICU ww unaneng'eneka na kina saida kaloli mara kina Rooney kwani Naibu waziri katibu wa wizara hawapo? Yaani jamaa anajifanya kulia wakati halikuwa karibu na mke wake wakati anaumwa! Nyie mlianzisha ubaguzi basi tutazikana kivyama! Nyie zikaneni nasisi pia.
Mbilinyi amekwenda kwa kiherehere chake tu na ukabila walionao watu wa Mbeya, hajatumwa na chama.CDM imewakilishwa na Mheshimiwa Joseph Mbilinyi.
Nani alianzisha kwa Kisumo? Sababu ya msingi ilikuwa nini?Wala hata hainuumi. Ila nawashangaa tu hao wa.pu.mbavu eti wameweka maazimio ya kutoshirikiana na CCM katika jambo lolote lile hata kwenye msiba. Magufuli aliaga mwili wa Dada yake Lisu pale Karimjee. Bashe nilimuona kuaga mwili wa dada yake Hawa Mwaifunga... Kwa sasa Chadema wamishirikiana na CCM wanaitwa wasaliti. Upu.mbavu mkubwa
Chadema ni chama cha ovyo sana. Viongozi wao wamekuwa wa Ovyo sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tukiachana na masuala ya ushabiki wa vyama,naomba uweke ukweli bayana "kati ya Chadema na CCM wapi ni wa hovyo?"Wala hata hainuumi. Ila nawashangaa tu hao wa.pu.mbavu eti wameweka maazimio ya kutoshirikiana na CCM katika jambo lolote lile hata kwenye msiba. Magufuli aliaga mwili wa Dada yake Lisu pale Karimjee. Bashe nilimuona kuaga mwili wa dada yake Hawa Mwaifunga... Kwa sasa Chadema wamishirikiana na CCM wanaitwa wasaliti. Upu.mbavu mkubwa
Chadema ni chama cha ovyo sana. Viongozi wao wamekuwa wa Ovyo sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawana Umuhimu wowote
Nibora hawajaonekana
Wanafiki wanini!!
Hawana Umuhimu wowote
Nibora hawajaonekana
Wanafiki wanini!!
Khaaaaaa!! hao CHADEMA si nimaadui zenu iweje tena leo muwatake kwenye misiba kama si unafiki mkuubwa.Hao jamaa wamejaa CHUKI...UDINI na UKABILA. Na ndio sera yao mpya kwa sasa mkuu.
Itakuwa "walisusa" kama kawaida Yao.
Wote wana kesi kila alhamis wanapaswa kuhudhuria vituo vya polisi
CDM imewakilishwa na Mheshimiwa Joseph Mbilinyi.
kifo cha sizonjeLipi la kifo cha Regina lowasa??
Hukusikia boss alivyokataza kwenda kuwajulia hali wapinzani kuleeeeeee...
Sent using Jamii Forums mobile app
Kasi ya chuki inatembea kama moto wa nyika!Hakuna kitu kinachonitisha kama roho ya kisasi hasa kwa upepo huu wa Siasa za sasa
sometimes mjinga unampa like tu usihangaike kumjibu baadae anajitafakari kwa ujinga waketayari umepanic.
Wewe una lako jambo. Mbona Mh Sugu ameonekana msibani? Au ulitaka mpaka iweje? Arusha walikuja wakanyimwa kuzungumza, Sugu amehudhuria japo hakuongea inakuwa nongwa???Imekuwa kitu cha ajabu sana kutoona hata mwakilishi mmoja wa upinzani katika msiba wa Mke wa Mwakyembe. Si kawaida kutoona Lowassa au Mbowe au Mwakilishi wa baadhi ya vyama vyetu pendwa kwenye misiba hasa yenye sura ya kitaifa.
Kuna mwenye majibu!!!
Shida nini?
i) Mwakyembe kuwa katika kamati iliyomng'oa Lowassa U-PM mwaka 2007;
ii) Hapakuwa na umuhimu wa kuwa na mwakilishi wa chama katika msiba huu; au
iii) Kuna uhasama wa kivyama sana ambao hatujaanza kuzikana kama Watanzania.