Akikujuza nami niambie mkuuWewe nae ni great thinker?
Mwambie atujibu tuna mambo mengi mzeeYaaani unakaa, unaanza kuwaza,
Unawazaaaaaaaa,
Unawazaaaaaaaaaaaaaaa
Then unawaza tenaaa
Unashindwa ku fikia hitimisho.
Unachukua simu/PC unalog in Jf, unafungua Uzi unauliza Kutongoza?!?!
Na majibu yake yawe mafupi na ya kuelewekaMwambie atujibu tuna mambo mengi mzee
Nafikiri ameanza kuwaza tena, akipata jibu atakuja kutuambia.Akikujuza nami niambie mkuu
Bado hajafika tu Huyo mkuuNa majibu yake yawe mafupi na ya kueleweka
Ngoja tumsubiri mkuuNafikiri ameanza kuwaza tena, akipata jibu atakuja kutuambia.
Bora kurudiana na ex wako kama umeshapata hela.
Kapashe zako kiporo. Kutongoza waachie wengine.
