GenuineMan
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 5,250
- 11,598
Nimeshamaliza hapa najisikia MWEPESIIIIIIIIIIIIIIIII
Bora wewe, mimi naambiwa Kabisa Vinci express your feelings..
Anapiga simu kabisa ananiambia nitongoze. Daah, madem wa chuga makaksi mno
Hahahahahaha hii noma snaaKama mwanamke anakuzingua siku akikukubalia mwambie unataka kumuoa, then nenda kwao ng'oa bati lao la Nyumba, waambie wazazi wake unataka karabati Nyumba yao..
Then sepa zako...
Kama mwanamke anakuzingua siku akikukubalia mwambie unataka kumuoa, then nenda kwao ng'oa bati lao la Nyumba, waambie wazazi wake unataka karabati Nyumba yao..
Then sepa zako...
Nimeshamaliza hapa najisikia MWEPESIIIIIIIIIIIIIIIII
Wala sina haja ya kuhangaika kutongoza wala kutumaliza tuhela twangu, wala sina hofu ya magonjwa, wala sina hofu ya kusakiziwa mimba. Yaani nina raha na amani tele.
mlilie tu atakuelewa...
mlilie tu atakuelewa...
Kijana mwenzangu tafadharini
Nje na kutumia maneno mengi ya kuzungukaa maaana nimezoea kumshawishi mwanamke nakupata kamchezo ndani ya siku moja au mbili
lakini mwezi uliopita KAMATI YANGU YA MAAMUZI MAGUMU,imeshindwa kufanya kazi ipasavyo ,,,nimekutana na mwanamke ambaye hayuko siriaz katika mazungumzo iwe wakati nawasilisha hiiisiaa zangu au Mambo mengine ,,,she is not siriaazz kabisaa,,,nakuishia kunishifu tu una ung'eng'e wa kushawishi mzuri but,,,sijakubaliwa Wala kutiliwa maanani mwezi mzimaaa sasa umeishaa,,,Jamani nimeshiwa mbinu kabisaaaa,,,
Hebu nawewe ndugu tueleze niwakati gani uliowahi kutanana nao wa umemwelewa mwanamke Fulani lakini
Ikawa ni vigumu kufikia malengo yako ya kuwa nae katika mahusiano
Inawezekana siko peke yangu tuliokumbana na Hali hiii,,,,
Twendeni tutililike inaweza ikatupa mwanya sisi wengine tujikwamue kwenye majanga Kama haya
Sent using Jamii Forums mobile app
Kijana mwenzangu tafadharini
Nje na kutumia maneno mengi ya kuzungukaa maaana nimezoea kumshawishi mwanamke nakupata kamchezo ndani ya siku moja au mbili
lakini mwezi uliopita KAMATI YANGU YA MAAMUZI MAGUMU,imeshindwa kufanya kazi ipasavyo ,,,nimekutana na mwanamke ambaye hayuko siriaz katika mazungumzo iwe wakati nawasilisha hiiisiaa zangu au Mambo mengine ,,,she is not siriaazz kabisaa,,,nakuishia kunishifu tu una ung'eng'e wa kushawishi mzuri but,,,sijakubaliwa Wala kutiliwa maanani mwezi mzimaaa sasa umeishaa,,,Jamani nimeshiwa mbinu kabisaaaa,,,
Hebu nawewe ndugu tueleze niwakati gani uliowahi kutanana nao wa umemwelewa mwanamke Fulani lakini
Ikawa ni vigumu kufikia malengo yako ya kuwa nae katika mahusiano
Inawezekana siko peke yangu tuliokumbana na Hali hiii,,,,
Twendeni tutililike inaweza ikatupa mwanya sisi wengine tujikwamue kwenye majanga Kama haya
Sent using Jamii Forums mobile app