Kutomuamini Mungu ni ujasiri?

Mkuu nimekuelewa kwanza hongera kwa kuja na hoja zilizo shiba mifano, ila kwa utakacho wewe ni ushahidi ulio hai(Wakuona, wakugusa na kushikika) kitu ambacho ni kigumu.

Waliokapatiwa bahati za kuonesha haya tayari walishapita (Wajumbe wa MUNGU) ambao ndo walikuwa na access uzitakazo, mim n mtu wa kawaida sana kama ulivyo wewe ila tofauti zetu ni IMANI.

Kwa ulimwengu wa leo na toka enzi imani ni kuamini ama kwa kuona, kusoma au kusikia ila kwenye evidence kuna masalia ya mifano yake kama uwepo wa FARAO, Mke wa Nuhu aliyegeuka jiwe la chumvi, Qur'an, Torat, Zaburi, Injil na vitabu vingine.

Ila ukitaka USHAHIDI UUTAKAO, kwakweli mimi ntashindwa kukupa, coz MUNGU hakunipa hyo ACCESS.
 
Kwa upande wangu naamini Mungu yupo ila sio uyu wa wazungu na warabu
Unamuamni MUNGU yupi, pia kuna watu waaminio SHETANI ni MUNGU pia, na hii imepelekea dhana ya kuibuka kwa miungu mingi now days
 
Hapo huoni kuna tatizo mkuu yani Mungu alilidhihirisha kwa kikundi Cha watu fulani tu ndani ya muda fulani hadi kwa mtume wake wa mwisho (Muhammad) halafu hajaonekana tena. Aliacha maandiko ambayo tafsiri zake zinachanganya watu. Na pia alitoa maagizo tofauti kwa watu mbalimbali kitu ambacho kimepelekea dini tofauti bila kujua ipi ni sahihi. Lakini mwisho wa siku ataadhibu watu kwa kutofata maandiko, dini sahihi na kutilia mashaka uwepo wake hii ni haki kweli ?

Kama yupo ni swala dogo tu la kujidhihirisha kwa wasioamini na waliopotea kwenye dini ya kweli na kusema dini sahihi ni ipi lakini yuko kimya. Mfano kwenye biblia aliwaaminisha manabii wa "baali" kuwa yeye ni mungu wa kweli kwa kushusha moto, kuna vilema waliponywa na yesu. Hizi ishara kwanini hatuzioni sasa?

Waandishi wa vitabu vilivyopo ambavyo unasema ndio ushahidi ni wanadamu kama sisi, tunajuaje walikuwa wanaongea na mungu kweli? lakini pia tunajuaje walikuwa hawaongei na Mungu? swali la pili rahisi sana wanadai kuongea na kiumbe kinachojua kila kitu lakini maandiko yao yamejaa makosa hii ni wazi hawaongei na kiumbe cha hivyo ni wao wenyewe na wanaandika makosa kama wanadamu wengine tu.

Uwepo wa masalia ya miili ya wafalme wa misri (ma Farao) ni ushahidi tu kwamba watu wa misri walikuwa na njia za kutunza miili ya watu kwa muda mrefu bila kuoza (inaitwa mummification) na sio ushahidi wa kutosha wa matukio yaliyoandikwa kuhusu misri kuitumikisha israeli. waandishi wa vitabu vya dini fulani walijua hii njia ya kutunza miili ya wafalme wa misri wakadai Farao (kwanza walihisi Farao ni jina la mtu na ni mmoja) hakuoza kwasababu mungu alitaka kumuadhibu kitu ambacho ni hadithi tu, vipi sasa miili mingine ambayo sio wa Farao iliyotunzwa kama wa Farao na masalia yapo wao pia walimuudhi Mungu?

MAANDIKO SIO USHAHIDI. KILICHOFANYIKA NI KUCHOMEKA CHEMBE CHEMBE KIDOGO ZA UKWELI KWENYE HADITHI ZA KUFIKIRIKA. NDO MAANA MIUJIZA ILIYOANDIKWA KAMA WATU KUFUFUKA, VILEMA KUTEMBEA KWA KUOMBEWA HATUIONI SABABU NI VITU VISIVYOKUWEPO KWENYE UHALISIA.

Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
 
Yuko wapi sasa kama hajajificha?
Malizia kujibu swali.

Mola wetu yupo juu ya mbingu ya saba, amestawi juu ya Arshi yake.

Siku ya malipo, wale walio fanya wema watalipwa ziada ya kukuona Mola wetu, kama vile tuonavyo jua la saa sita mchana. Hizi ni habari zisizo na shaka kabisa.
Unafikiri kunipa uhai kutakuwa ni jambo la msingi kama uhai huo alionipa sita enjoy nao kwa shida za ulimwengu alizoziweka?
Ukiona sio jambo la msingi jiue, hakuna huzuni inayo dumu kijana.

Kila kitu kina sababu zake.
Si tuna ona kwa wanao omba na hakuna respond yeyote kutoka kwake
Hili ndio huwa tatizo la watu kama nyinyi, yaani kila mnapo mjadili Mola, lazima mkosee sababu hamumjui.

Mola anampa mtu kile anachostahiki, na unaweza kuombwa hili ukapewa bora lililo zaidi na ukanyimwa lile ulilo omba. Unaweza kuombwa mali ukapewa afya njema.

Mtu kama wewe huwezi kuona utendaji kazi wa Mola sababu hamjui.
Kwanini ameruhusu?
Sababu ziko nyingi miongoni mwazo ni kuwazindua waja wajue lengo la wao kuishi hapa duniani, kadhalika ni adhabu.
Kama hakumbushwi basi kupiga dua kwa ajili ya kuomba lolote kutoka kwake ni kupoteza muda tu
Si kupotezwa muda sababu yeye ameelekeza ya kuwa na ukitaka msaada basi muombe yeye, na yeye anapenda kuombwa na ni mwepesi wa kujibu maombi ya waja.

Sasa vipi inakuwa kupoteza muda wakati watu wanajibiwa Dua zao kila uchwao ?
 
Well, twende side B ili tutumie formula ya attack from Beginning kujibu hoja yako.

Unaamini uwepo wa Lucifer na kazi zake ??
 
Anashughuli gani ya maana inayo muweka huko?
Nafkiri ungeanza kwanza kutaja shughuli yako ya maana inayokufanya ukae huku duniani, alafu nikujibu kinachomfanya MUNGU akae hko alipo.
 
Siku ya malipo, wale walio fanya wema watalipwa ziada ya kukuona Mola wetu, kama vile tuonavyo jua la saa sita mchana. Hizi ni habari zisizo na shaka kabisa.
Okay na yeye kwa kuumna ulimwengu mbovu unaosababisha watu wasiokuwa na hatia wafe, siku ya malipo naye atawajibika kwa uzembe huo?

Au kuna double standard?
 
Okay na yeye kwa kuumna ulimwengu mbovu unaosababisha watu wasiokuwa na hatia wafe, siku ya malipo naye atawajibika kwa uzembe huo?

Au kuna double standard?
Atawajibishwa na nani, au umoja wa MATAIFA ??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…