Boniface Mwankenja
Member
- Apr 24, 2013
- 34
- 5
Habari wanajamii nyoote..
Naombeni ufafanuzi kidogo, hivi ni kitu gani kinamfanya mtu kutoa maji maji kama jasho wakati wote na mwili mzima,,
Maana nimejaribu kudadisi lakini sijapata majibu na huyu mtu huwa anatokwa na jasho kila wakati hata awe kwenye ubatifi kiasi gani..
Sasa je! Ni ugonjwa ama nini? Na unaweza kutibika?
Ahsanteni na nataraji majibu kutoka kwenu.
Naombeni ufafanuzi kidogo, hivi ni kitu gani kinamfanya mtu kutoa maji maji kama jasho wakati wote na mwili mzima,,
Maana nimejaribu kudadisi lakini sijapata majibu na huyu mtu huwa anatokwa na jasho kila wakati hata awe kwenye ubatifi kiasi gani..
Sasa je! Ni ugonjwa ama nini? Na unaweza kutibika?
Ahsanteni na nataraji majibu kutoka kwenu.