Pole sana. Mtangulize bwana mungu katika sala zako na mipango ya maisha yako. Lisilowezekana kwa mwanadamu, kwa mungu linawezekana.habari hawa jf naomben mnisaidie hapo.mm.nkiwa kwenye siku zangu naumwa sana natumbo nakosa raha na nachelewa kupata siku zangu na miaka miwil sijabahatika mtoto tatzo langu ni mayai hayapevuki nisaidien kwa anaejua
Pole sana. Mtangulize bwana mungu katika sala zako na mipango ya maisha yako. Lisilowezekana kwa mwanadamu, kwa mungu linawezekana.
Hilo la mimba inaweza ww ukawa hauna tatizo kabisa!Je mwenzio(mmeo)yy kapima kama ana uwezo wa kupiga mashuti?
Nipo tayari kwa ushauri uki ni PM lkn!
habari hawa jf naomben mnisaidie hapo.mm.nkiwa kwenye siku zangu naumwa sana natumbo nakosa raha na nachelewa kupata siku zangu na miaka miwil sijabahatika mtoto tatzo langu ni mayai hayapevuki nisaidien kwa anaejua
habari hawa jf naomben mnisaidie hapo.mm.nkiwa kwenye siku zangu naumwa sana natumbo nakosa raha na nachelewa kupata siku zangu na miaka miwil sijabahatika mtoto tatzo langu ni mayai hayapevuki nisaidien kwa anaejua