Kutokuwepo mikutano ya hadhara ya kisiasa: Nchi imepoa au imepooza?

Petro E. Mselewa

JF-Expert Member
Dec 27, 2012
10,306
25,929
Hebu tujibu swali hili kwa udhati na ukweli tukizingatia ustawi wa demokrasia nchini,shughuli za kimaendeleo,amani na utulivu.

Kuna katazo la mikutano ya hadhara ya kisiasa kwa vyama vyote.Inayoendelea ni mikutano ya ndani.Tangu kutolewe kwa katazo hilo la mikutano ya kisiasa,nchi imepoa au imepooza?
 
Mikutano ya CCM ipo kila siku ni ya wengine ndiyo inakosekana.
 
Hebu tujibu swali hili kwa udhati na ukweli tukizingatia ustawi wa demokrasia nchini,shughuli za kimaendeleo,amani na utulivu.

Kuna katazo la mikutano ya hadhara ya kisiasa kwa vyama vyote.Inayoendelea ni mikutano ya ndani.Tangu kutolewe kwa katazo hilo la mikutano ya kisiasa,nchi imepoa au imepooza?
Hakuna matusi na mapovu.nchi haijapoa wala kupooza,watu wanaendelea na kazi kama kawaida
 
Hebu tujibu swali hili kwa udhati na ukweli tukizingatia ustawi wa demokrasia nchini,shughuli za kimaendeleo,amani na utulivu.

Kuna katazo la mikutano ya hadhara ya kisiasa kwa vyama vyote.Inayoendelea ni mikutano ya ndani.Tangu kutolewe kwa katazo hilo la mikutano ya kisiasa,nchi imepoa au imepooza?
ni mkakati wa kulinda viongozi wabovu.
 
Hebu tujibu swali hili kwa udhati na ukweli tukizingatia ustawi wa demokrasia nchini,shughuli za kimaendeleo,amani na utulivu.

Kuna katazo la mikutano ya hadhara ya kisiasa kwa vyama vyote.Inayoendelea ni mikutano ya ndani.Tangu kutolewe kwa katazo hilo la mikutano ya kisiasa,nchi imepoa au imepooza?

Neither of the above Comrade!
 
Wabunge wameruhusiwa wafanye mikutano ya maendeleo kwenye majimbo yao, cha ajabu Mbowe na Mnyika hawajawahi kufanya mkutano wowote wa maendeleo jimboni.!!!!!!!
 
Kinachozuiwa Wabunge wa Upinzani kufanya Mikutano ya hadhara kwny Majimbo yao ni nini wakati ni Ruksa hata kufanya Mikutano kila Siku ?
 
Hebu tujibu swali hili kwa udhati na ukweli tukizingatia ustawi wa demokrasia nchini,shughuli za kimaendeleo,amani na utulivu.

Kuna katazo la mikutano ya hadhara ya kisiasa kwa vyama vyote.Inayoendelea ni mikutano ya ndani.Tangu kutolewe kwa katazo hilo la mikutano ya kisiasa,nchi imepoa au imepooza?
Nchi imetulia,hakuna waandamanaji vibaka,mali za watu zipo salama.Hotuba za matusi hazipo Tena.Kukimbizana na polisi mitaani hakuna Tena. Kila mtu anachapa kazi yake. Wachochezi wamekata tamaa !
 
Back
Top Bottom