twenty2
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 296
- 32
nauliza kwasababu mm mwenyewe nmeulizwa ila nmeona niwashilikishe na wana jf wenzangu,naomba michango yenu,kama haujaelewa ni ipo ivi,mfno ww mpz wako anakwambia kila anachokifanya may be amenunua nyumba amekwambia bt ww unafanya mambo yako kimyakimya haumshlikishi,mpaka aje kuckia kwa jirani au rafiki yako.