Na tatizo kubwa sasa limeongezeka, la ubabe na vitisho vya wazi kwa wanaotaka mabadiliko. Ninaona kama hali ya nchi sasa ni mbaya.
Kama kuna vyombo ama taasisi huru za kimataifa, ziambiwe kuna tatizo Tanzania, ziingilie kati ili zisaidie kurekebisha hali kabla damu nyingi zaidi haijamwagika.
Nina mkumbuka Mchungaji Mmoja anaitwa Mwasumbi, alitembea Tanzania nzima akihubiri kwamba Tanzania itubu maana hukumu ya uovu wake imefika. Sasa sijui ndio muda huu Mungu anaachilia ujinga na upofu kwa watawala ili damu zetu zimwagike?
Viongozi wa dini na serikali, waambieni watu watubu dhambi na kuacha njia mbaya ili tupone.
ccm na king'ang'anizi chako cha kutawala nchi. Utamtalwala nani wakati umeua watu wote? Nani atazalisha? Nani atalipa kodi? Utapata wapi hela za kufanyia anasa zako na uongozi wako utakuwa na manufaa gani kwako?
Kumbuka vita vikishaanza havipiganwi upande mmoja. THERE IS NO VICTORY IN DEATH MS CCM.