Kikarara78
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 1,495
- 901
Ni Kweli Zema, inatia Uchungu aka inauzunisha na kusikitisha kuona na kusikia baadhi ya Watu aka Mafisadi wakitafuta bila huruma Mali za Watanzania wote inhali Huduma Muhimu zikiwa Duni. Ila mimi naamini kila kitu Kinawezekana, Tukiamua. Uzuri Watanzania aka Wananchi wa leo sio wa Miaka ile, Mijini unaona wanavyotoka Usingizini, Elimu hii ipelekwe na Vijijini. Siku moja Mambo yatanyooka tu.
uzalendo sijui kama utawezekana manake kila mmoja anawaza wizi tu, mara EPA, Kagoda, Meremeta, mara RADA mara mabilioni ya Uswis duuuuuuh sijui hata where are going