Kamati kuu ya Chadema,tunawaomba,sisi wanairamba,mumurudishie uanachama Dr Kitila Mkumbo; ni mchango mkubwa sana kwetu lakini pia sisi kama wanachadema toka Iramba Magharibi bado tunaimani na sana na Chadema
Kamati kuu ya Chadema,tunawaomba,sisi wanairamba,mmurudishie uanachama Dr Kitila Mkumbo; ni mchango mkubwa sana kwetu lakini pia sisi kama wanachadema toka Iramba Magharibi bado tunaimani sana na Chadema.
Kamati kuu ya Chadema,tunawaomba,sisi wanairamba,mumurudishie uanachama Dr Kitila Mkumbo; ni mchango mkubwa sana kwetu lakini pia sisi kama wanachadema toka Iramba Magharibi bado tunaimani na sana na Chadema
Kamati kuu ya Chadema,tunawaomba,sisi wanairamba,mmurudishie uanachama Dr Kitila Mkumbo; ni mchango mkubwa sana kwetu lakini pia sisi kama wanachadema toka Iramba Magharibi bado tunaimani sana na Chadema.
Tuache hiii CD sasa hv haisaidii kitu. Kuna jambo kubwa linalogusa fate ya Taifa sasa hv badala ya watu kuangalia nini kinachoendelea ili tuweze kufanya maamuzi sahihi tunakuja na siasa za ajabu hapo. Me nafikiri watanzania wote tuache siasa kwa hiki kipindi tu concentrate kwenye issue ya katiba, tupate katiba nzuri kwa ajili ya nchi yetu na vizazi vijavyo.
kama ni mtu anayewafaa hata akiwa SAU atawafaa, mwambieni atafute chama ahamie ili mkafanye yenu. waacheni CHADEMA waendelee na yao. acheni usumbufu bana
Kamati kuu ya Chadema,tunawaomba,sisi wanairamba,mumurudishie uanachama Dr Kitila Mkumbo; ni mchango mkubwa sana kwetu lakini pia sisi kama wanachadema toka Iramba Magharibi bado tunaimani na sana na Chadema
CDM Iramba kimekufa kabisa nyie ndugu zangu wanyiramba acheni kumfikiria Dr Kitila maana hata mkidhikiri uchi CC ya CDM haiwezi kutengua maamuzi kamwe!
Sasa tuendelee kulima Alizeti yetu na mahindi na ndugu zangu wa Kidaru, Kiteka, Doromoni wote waendelee kulima uwele na kutumia vyema hizi mvua zinazoendelea kunyesha!
Hakuna namna Dr Kitila akarudishwa ingawa mmeumia sana! Na kinachowauma zaidi kwa CCM kuendelea kuimarika katika tarafa zote nne na kata 17 na vijiji vyake 76!
Kamati kuu ya Chadema,tunawaomba,sisi wanairamba,mmurudishie uanachama Dr Kitila Mkumbo; ni mchango mkubwa sana kwetu lakini pia sisi kama wanachadema toka Iramba Magharibi bado tunaimani sana na Chadema.
Gamba hilo,kajichanganya tu. Naona ndiyo mwendelezo ule ule wa kuhweuka kwa magamba,shinikizo la damu juu,msongo wa mawazo umesongamana. Kazi ipo kweli kweli.