MAJANGA NIACHE
Member
- Feb 21, 2012
- 95
- 6
Mazeee, wale ambao msha fanyiwa oral ya hizi nafasi za TRA, interviews ambazo zianendelea tupeni habari basi mambo yakoje huko?
Tupeane nyago za kutoboa aseeee
Tupeane nyago za kutoboa aseeee
Tuambizane mazeeeMazeee, wale ambao msha fanyiwa oral ya hizi nafasi za TRA, interviews ambazo zianendelea tupeni habari basi mambo yakoje huko?
Tupeane nyago za kutoboa aseeee
Mliulizwa maswali gani mbona hamsemi?Ama kweli oral iondolewe mimi wa kupata majibu baada ya kutoka kwny panel wakati kila kitu kilipotea nlivoingia mule
Pole Mkuu,ili tunaomba utusaidie maswali uliyoulizwa itusaidie kujipanga wenye oral zinazoendeleaAma kweli oral iondolewe mimi wa kupata majibu baada ya kutoka kwny panel wakati kila kitu kilipotea nlivoingia mule
XStics of tax, methods of protectionism, advantages of double taxation, adjusted assessment mengine nmesahauPole Mkuu,ili tunaomba utusaidie maswali uliyoulizwa itusaidie kujipanga wenye oral zinazoendelea
Mimi najiandaa kufanya kesho Jumatano
HV WE NDO ULIKUWA UMEVAA SHATI JEUPE TAI NA SURUALI NYEUS ULIKUWA UNATETEMEKA UNAMUANGALIA SANA YULE MDADA?XStics of tax, methods of protectionism, advantages of double taxation, adjusted assessment mengine nmesahau
Jumla ni 6 qns pamoja na la kujiintroduce
Mie sio msela aseeHV WE NDO ULIKUWA UMEVAA SHATI JEUPE TAI NA SURUALI NYEUS ULIKUWA UNATETEMEKA UNAMUANGALIA SANA YULE MDADA?
HahahahahaMie sio msela asee
Hata Mimi. Yani tumbo joto hapaPole Mkuu,ili tunaomba utusaidie maswali uliyoulizwa itusaidie kujipanga wenye oral zinazoendelea
Mimi najiandaa kufanya kesho Jumatano
Aisee we acha tu. Nilivojibu huko Mungu anajuaNdugu zangu someni someni sana NBAA wanataka kupita na watu.Usiombe unaingia huna point hata moja unaanza kutazamana na hao malecture unaanza kuhesabu vidole sali sana omba sana
Yani acha kbs. Oral y’a NBAA nimeinyooshea mikono… Hee sasa lisaa lizima hao mafaransa wanauliza nn??Oral sio nzuri mungu awatangulie mkumbuke point za kujibu ,nakumbuka mwaka jana kwenye mishe nayopiga sasa hivi niliingia kwenye interview nikakutana na wafaransa wa tatu wameniandalia kiti changu kabisa nyie na mtu mmoja anakuwa interviewed kwa lisaa limoja.
Bora we Una hopes. Mi Sina kbs😢ase nilijibu kwa kuunga unga ila natumai ntatoboa tu...
Mkuu maswali ni knowledge uwe nayo tu kwa kada yako na huwa yana badilika kila kada ishu ya msingi sio kujua maswali isipokuwa mtu anatakiwa awe na upeo wa juu kukumbuka point wanazo taka kwa kila swali, hapo lazima iwe imara kwenye kodi na forodha ndio itakuwa simple.Pole Mkuu,ili tunaomba utusaidie maswali uliyoulizwa itusaidie kujipanga wenye oral zinazoendelea
Mimi najiandaa kufanya kesho Jumatano