Kutishiana kuachana kila wakati

Kutishiana kuachana kila wakati

abja

Member
Joined
Oct 11, 2016
Posts
5
Reaction score
6
hivi kuna aliyewahi kupitia hili!
unakua na mwanaume au mwanamke ambaye mkigombana kidogo tu anakutushia kuanzia leo mi na wewe basi
mara nitambue kama mzazi mwenzio tu kuanzia leo
hivi hii inaashiria nini
baada ya muda mfupi anaomba msamaha na kukanusha kauli yake
 
Dah umenkumbusha machungu
Girl wangu wakwanza kabsa..... Nlimpenda sana nkamuheshimu sana
Alipo fika 4m5 kwenda 6 akaanza kindumbwendumbwe.. Mala awake na kakosea yeye mwenyew
Mala vile yan.... Anaanzisha mvurugo afu anaugeuza kua wangu.... Afu me cool yani

Kifupi hakuna kitu apo
Anzaga kuangalia upande mwingine mkuu
 
Jitahidi usifanye matendo ya kumuudhi mwenzio, kuna muda mwingine watu huwa wanaona bora kulikimbilia pengo kuliko kuendelea kugugumia na jino bovu
Ila kam mwenzake huyoo anamtubmwingine
Ndugu yetu anataabu
 
Dah umenkumbusha machungu
Girl wangu wakwanza kabsa..... Nlimpenda sana nkamuheshimu sana
Alipo fika 4m5 kwenda 6 akaanza kindumbwendumbwe.. Mala awake na kakosea yeye mwenyew
Mala vile yan.... Anaanzisha mvurugo afu anaugeuza kua wangu.... Afu me cool yani

Kifupi hakuna kitu apo
Anzaga kuangalia upande mwingine mkuu

duh acha nijipange
 
Jitahidi usifanye matendo ya kumuudhi mwenzio, kuna muda mwingine watu huwa wanaona bora kulikimbilia pengo kuliko kuendelea kugugumia na jino bovu

mwingine unakuta makosa anayachokonoa mwenyew ukireact anakimbilia kusema kuanzia leo mi na ww basi
 
wengine huwa ni hasira tu ila kuwa makini ni dalili mbaya kama adi kosa ambalo halina uzito sana kutolewa kauli kama hiyo ya kuachana, kutofautiana na kukoseana kupo sana kwa wapendanao lakini isiwe sababu ya kutoleana kauli ambazo kimsingi zinazohatarisha afya ya penzi ndio maana yaitajika sana subira na uvumilivu kwa wapendanao.
 
Tafasiri nyepesi ni kwamba...
Kama unamiliki mkwasa, basi stopisha kumsomesha na anza kujiandaa kwa lolote
 
mwingine unakuta makosa anayachokonoa mwenyew ukireact anakimbilia kusema kuanzia leo mi na ww basi
Huo ni j
Utoto na mapenzi ya hivyo ni ngumu kudumu, maana kila mmoja kwenye mindset yake hilo neno "kuachana" litajengeka
 
Huo ni j
Utoto na mapenzi ya hivyo ni ngumu kudumu, maana kila mmoja kwenye mindset yake hilo neno "kuachana" litajengeka

nijipange kufanya yangu mapemaaaa
 
Either hakupendi tena,Hakupendi,Kapata mwingine anakutafutia visa, Wewe ni tegemezi kwake. Kipi kilichopo kwako kati ya hivi??
 
Back
Top Bottom