munyambo p Senior Member Joined Aug 18, 2017 Posts 173 Reaction score 167 Dec 27, 2017 #1 Habari zenu jamani huku kwetu hatujambo tunaendelea kufurahi na kumushukuru Mungu kwa kuturinda. Jamani mtu ambae anataka kutembelea kwetu huku Kigali Ni karibu kabisa maana sisi sote Ni ndugu
Habari zenu jamani huku kwetu hatujambo tunaendelea kufurahi na kumushukuru Mungu kwa kuturinda. Jamani mtu ambae anataka kutembelea kwetu huku Kigali Ni karibu kabisa maana sisi sote Ni ndugu
NOI NOI JF-Expert Member Joined Aug 10, 2015 Posts 215 Reaction score 106 Dec 27, 2017 #2 Conflicts no existing again
Paroco JF-Expert Member Joined Dec 24, 2017 Posts 2,576 Reaction score 10,922 Dec 27, 2017 #3 Veep masala ya kibiashara huko yakoje????
Mibas JF-Expert Member Joined Apr 3, 2012 Posts 4,211 Reaction score 6,384 Dec 27, 2017 #4 Safi sana, wewe ni wa ke au me!? Nina safari ya kuja huko kwenu
munyambo p Senior Member Joined Aug 18, 2017 Posts 173 Reaction score 167 Dec 27, 2017 Thread starter #5 Biashala zinafanyika na usalama upo wa kutosha wawekezaji wengi wanakuja na wanapokelewa vizuri bila tatizo
Biashala zinafanyika na usalama upo wa kutosha wawekezaji wengi wanakuja na wanapokelewa vizuri bila tatizo
munyambo p Senior Member Joined Aug 18, 2017 Posts 173 Reaction score 167 Dec 27, 2017 Thread starter #6 Mibas said: Safi sana, wewe ni wa ke au me!? Nina safari ya kuja huko kwenu Click to expand... Mimi ni mwanaume
Mibas said: Safi sana, wewe ni wa ke au me!? Nina safari ya kuja huko kwenu Click to expand... Mimi ni mwanaume
Mibas JF-Expert Member Joined Apr 3, 2012 Posts 4,211 Reaction score 6,384 Dec 27, 2017 #7 Poa, nitakua huko kwa wiki 2 tukionana sio mbaya
Mibas JF-Expert Member Joined Apr 3, 2012 Posts 4,211 Reaction score 6,384 Dec 27, 2017 #8 munyambo p said: Mimi ni mwanaume Click to expand... Itapendeza tukionana huko
sab JF-Expert Member Joined Jan 25, 2013 Posts 5,746 Reaction score 4,350 Dec 27, 2017 #9 Kuna demand ya biashara gani Rwanda
munyambo p Senior Member Joined Aug 18, 2017 Posts 173 Reaction score 167 Dec 27, 2017 Thread starter #10 Mibas said: Itapendeza tukionana huko Click to expand... Ndio ukitaka kuja utaniambia nikupe number yangu
Mibas said: Itapendeza tukionana huko Click to expand... Ndio ukitaka kuja utaniambia nikupe number yangu
Mibas JF-Expert Member Joined Apr 3, 2012 Posts 4,211 Reaction score 6,384 Dec 27, 2017 #11 Nakuja tarehe 2 January nitumie no yako PM.
munyambo p Senior Member Joined Aug 18, 2017 Posts 173 Reaction score 167 Dec 27, 2017 Thread starter #12 sab said: Kuna demand ya biashara gani Rwanda Click to expand... Unajua Rwanda kila kitu tunaagiza nje hatuna bahari kwa hiyo utakachofanya chote utafanikiwa ila unatakiwa ufuate utaratibu wa kufanya biashara hku
sab said: Kuna demand ya biashara gani Rwanda Click to expand... Unajua Rwanda kila kitu tunaagiza nje hatuna bahari kwa hiyo utakachofanya chote utafanikiwa ila unatakiwa ufuate utaratibu wa kufanya biashara hku
munyambo p Senior Member Joined Aug 18, 2017 Posts 173 Reaction score 167 Dec 27, 2017 Thread starter #13 Na ujue kila kitu tunachoagiza nje kinapitia kwenye nchi nyingine ili kifike kwetu
sab JF-Expert Member Joined Jan 25, 2013 Posts 5,746 Reaction score 4,350 Dec 27, 2017 #14 munyambo p said: Unajua Rwanda kila kitu tunaagiza nje hatuna bahari kwa hiyo utakachofanya chote utafanikiwa ila unatakiwa ufuate utaratibu wa kufanya biashara hku Click to expand... Hata kwa mwana East African mwenzenu kuna hinders ya kufanya biashara?
munyambo p said: Unajua Rwanda kila kitu tunaagiza nje hatuna bahari kwa hiyo utakachofanya chote utafanikiwa ila unatakiwa ufuate utaratibu wa kufanya biashara hku Click to expand... Hata kwa mwana East African mwenzenu kuna hinders ya kufanya biashara?
munyambo p Senior Member Joined Aug 18, 2017 Posts 173 Reaction score 167 Dec 27, 2017 Thread starter #15 Sana Rwanda tunapenda wageni sana na kuna wa eastafrica wengi na wanawarahisishia kwebye lesen za biashara
Sana Rwanda tunapenda wageni sana na kuna wa eastafrica wengi na wanawarahisishia kwebye lesen za biashara
munyambo p Senior Member Joined Aug 18, 2017 Posts 173 Reaction score 167 Dec 28, 2017 Thread starter #16 Habari za Leo wapendwa
FRANCIS DA DON JF-Expert Member Joined Sep 4, 2013 Posts 40,521 Reaction score 46,606 Dec 28, 2017 #17 Post picha za vivutio vya Rwanda kwanza ( ukiacha masokwe na hao wadada zenu)
FRANCIS DA DON JF-Expert Member Joined Sep 4, 2013 Posts 40,521 Reaction score 46,606 Dec 28, 2017 #18 Mibas said: Itapendeza tukionana huko Click to expand... Wewe ni ke?
Bujibuji Simba Nyamaume JF-Expert Member Joined Feb 4, 2009 Posts 76,579 Reaction score 161,430 Dec 28, 2017 #19 munyambo p said: Habari zenu jamani huku kwetu hatujambo tunaendelea kufurahi na kumushukuru Mungu kwa kuturinda. Jamani mtu ambae anataka kutembelea kwetu huku Kigali Ni karibu kabisa maana sisi sote Ni ndugu Click to expand... Huko si ndio nyumbani kwa Ntaharamwe?
munyambo p said: Habari zenu jamani huku kwetu hatujambo tunaendelea kufurahi na kumushukuru Mungu kwa kuturinda. Jamani mtu ambae anataka kutembelea kwetu huku Kigali Ni karibu kabisa maana sisi sote Ni ndugu Click to expand... Huko si ndio nyumbani kwa Ntaharamwe?
FRANCIS DA DON JF-Expert Member Joined Sep 4, 2013 Posts 40,521 Reaction score 46,606 Dec 28, 2017 #20 munyambo p said: Unajua Rwanda kila kitu tunaagiza nje hatuna bahari kwa hiyo utakachofanya chote utafanikiwa ila unatakiwa ufuate utaratibu wa kufanya biashara hku Click to expand... Kwahiyo walio na bahari kama sisi ndio hatuagizi nje?
munyambo p said: Unajua Rwanda kila kitu tunaagiza nje hatuna bahari kwa hiyo utakachofanya chote utafanikiwa ila unatakiwa ufuate utaratibu wa kufanya biashara hku Click to expand... Kwahiyo walio na bahari kama sisi ndio hatuagizi nje?