Kutembelea nyota ya mtu mwingine

Kutembelea nyota ya mtu mwingine

Dogoli kinyamkela

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2024
Posts
2,144
Reaction score
3,459
KUTEMBELEA NYOTA YA MTU MWINGINE !

Sehemu ya pili

( DOGOLI KINYAMKELA ☠️ 💀 (Dr)


Ukweli ni kwamba Nyota haiibiwi, nyota inadhibitiwa/inachafuliwa/inafunikwa au inamalizwa nguvu na wewe mwenyewe binafsi kulingana na matendo yako, mazingira au watu unaohusiana nao hasa uhusiano wanakuathiri Kwa namna Moja ama ingine.

Huwezi kudhibiti wala kuchafua nyota ambayo tayari mwenye nyota ameijua na anaitumia ipasavyo kwa maana tayari inang'aa hiyo ni sawa na kuizuia SGR kwa kukaa mbele ikiwa kwenye mwendo.

Pia mtu ambaye nyota yake tayari imeng'aa na yupo juu kwa kuwa na utajiri, ushawishi, mamlaka na nguvu kubwa mheshimu kwa sababu kuna kazi kubwa ya ziada kaifanya ili kuhakikisha anabaki juu na anakuwa bora kuliko wengine.hayuko pale Kwa bahati, kwanza hakuna bahati Bali ni malipo ya kile kizuri ulichokifanya AWALI

Kwenye topic ya incarnation & Re-incarnation(kufa na kuzaliwa Tena) nilifundisha kwamba hakuna bahati, ni Neno tu la kufarijiana usijione wewe una nuksi ,jambo la kweli na muhimu Kulifahamu ni Kwamba, wale wote(watoto) wanaozaliwa ndani ya FAMILIYA tajiri ndani Yao zipo nafsi ambazo zilishafanya mambo mengi mazuri ndani ya jamii ENZI za nyuma Kabla hazijavua miili Yani kufa Kisha kurudi,hivyo Karma inakurejesha ndani ya koo au FAMILIYA iliyojaliwa ili upate kiinua mgongo chako,hivyoivyo wewe uliyezaliwa kwenye umaskini WA kutupwa USIMLAUMU baba/mama Yako ,jilaumu mwenyewe kwani ijapokuwa hunakumbukumbu ila ulifanya makosa makubwa maisha ya nyuma pengine ulikuwa tajiri ila ulinyanyasa Watu ,pengine ni Laana ya kifamiliya ama ukoo(curse),

Sasa tuendelee

Kwa ufupi ni kwamba nyota sio kipawa wala talanta kama wengine wanavyodai, nyota ni mwongozo wa maisha tangu kuzaliwa mpaka mauti kwa viumbe wote sio mwanadamu tu na ndiyo maana baadhi ya nyota zinanasibishwa na wanyama na wadudu pia asili yake ikinasibishwa na mazingira yaani maji, upepo, udongo na moto.

👉Nyota ni ushirikina kwa watu wasio na maarifa haya,hata mimi zamani niliamini hivyo na hakuna kitu nilikuwa nakichukia kama utabiri wa nyota ila nilivyojikita kwenye kuuelewa ULIMWENGU ndipo nilipoelewa kwa nini elimu hii inapigwa vita na kunasibishwa na uchawi/ushirikina.

Elimu ya nyota ni zaidi ya uchawi
Elimu ya nyota ni zaidi ya ushirikina

Huwezi kuwa na elimu ya nyota halafu wachawi wakakusumbua au waganga wakakuibia/wakakutapeli.

👉Je, umewahi kusikia watu fulani fulani huko wakisema "fulani anatembelea nyota ya fulani?"

Na je, nini ulikuwa mtazamo wako kuhusiana na kauli hiyo au kauli kama hiyo?

Tumefundisha kwa miaka mingi kuhusiana na elimu ya Nyota na angalau watu wengi sana waliotupinga kwa nguvu zote miaka hiyo, hususani miaka ya 2019 kuja 2020 na 21, wengi wao ni wadau wakuu wa elimu hii siku hizi. Huo ni ushindi kwa waalimu wote wa ELIMU YA NYOTA kwa Afrika Mashariki na Kati; kwa hiyo hapa sitaanza kwa kuelezea maana ya nyota, acha niende moja kwa moja kwenye hoja.

Unaposikia watu wanasema kwamba mtu fulani anatumia nyota ya mtu mwingine au nyota za watu wengine, ni ukweli usiopingika kabisa.
Kuna uwezekano mkubwa endapo mtu akiamua kutumia nyota yako au ya mtu mwingine, kwa ajili ya maslahi yake binafsi, kwa sababu kila mtu ana aina ya nyota inayosapoti mambo fulani tofauti na wenzake.
Aidha, kuna Nyota ambazo zenyewe kwa asili yake zinasapoti nyota zingine hususani Nyota ya Simba na Nyota ya Ng'ombe.

Mtu akianza kutumia nyota yako kwa maslahi yake, ni wazi kwamba wewe unakuwa unamfanyia kazi yeye kwa kujua au bila kujua, unakuwa unamnufaisha yeye.

Kuna njia nyingi za kutumia nyota ya mtu kufanikisha mambo yako, nitataja njia kadhaa:

1. Tendo la ndoa
Hili tendo ambalo wazungu huliita SEX ni tendo ambalo mtu mke na mtu mme wakikutana kimwili, wanabadilishana nishati zao; huyu anabeba za huyu na yule anabeba za mwenzake. Ndio maana ya neno S.E.X ambalo kirefu chake ni Sacred Energy Xchange!
Kila unapokutana kimwili (kingono) na mtu awaye yote, awe mkeo/ mumeo au la, mnachofanya kiroho mnabadilishana nguvu, unampa zako anakupa zake.
Sasa watu wengi wana nguvu au nishati (au roho) chafu ambazo zinaharibu mambo, sasa wakilala na wewe, wanakuachia zao chafu wanabeba za kwako safi, mkitoka hapo wewe unaharibikiwa wao wanasonga mbele (wametumia nyota yako kujisafishia au kuoshea nyota yako)

2. Huduma za jamii
Kama nyota yako ni safi na inang'aa alafu mtu 'akaiona' na akaitaka, anaweza kuanza kujitolea kukusaidia au kukuhudumia mahitaji yako yote bila kuhitaji chochote kutoka kwako.
Kikawaida utamuona ana roho nzuri (ni sawa), lakini kiuhalisia (kiroho) unakuwa unampa uhuru wa kuitumia nyota yako kufanikisha mambo yake.

3. Kugawa fedha na zawadi kama nguo, viatu, saa nk.
Kama mtu 'akiona' nyota yako inang'aa sana, lakini hujitambui, basi anaweza kuichukua 'kwa kuinunua'
Atafanya hivyo kwa kuchukua pesa na kuinuizia manuizo (spells) fulani fulani, kisha atakupatia kwa mkono wa kushoto na atajitahidi kuhakikisha na wewe unapokea kwa mkono huo. Tendo hilo linakuwa ni alama au Ishara ya mauziano, anakuwa amenunua nyota yako.
Asipotumia fedha anaweza kutumia nguo, saa, viatu, soksi au chochote kinachotoka kwenye mwili wake.

Hii ndio Siri ya Mwiko kutumia Mkono wa kushoto kutoa ama kupokea kitu ,sio Kwa sababu ya sijui mkono kutumiwa maliwatonini(msalani) lahasha Bali ni Njia ya kukwepa mchezo mchafu,ndiomaana hata mwanangu anayetumia mkono WA kushoto nimemfundisha kufanya yote Kwa mkono wake huo kwani ubongo wake WA kulia unanguvu zaidi,ila namfunza kutumia MKONO WA kulia Kwa kupokea,kutoa,kulia na kusalimia mtu.

-usimzuie mtoto kutumia mashoto kama amezaliwa hivyo kwani ubongo wake WA kulia unanguvu kuliko ubongo WA kushoto unaoratibu mguu na mkono WA kulia, wazazi wengi huwacharaza watoto ilihali ni maumbile yake,Kwa kufanya hivyo mtoto anakosa ufanisi kwenye tasnia za sanaa,vipawa vya uongozi,uandishi,ualimu,siasa na michezo kwani Hilo ndio eneo lao la kujidai ,kuliko watumiaji WA mkono na MGUU WA kulia ambao ubongo wao wenye nguvu ni WA kushoto wenye kuratibu mambo mengi kwenye TAALUMA,TAKWIMU,tafiti,hisabati,kukariri na HASA mambo ya kufundishwa ili apokee

‼️NAWAIBIA SIRI HII.
matumizi ya mikono na miguu Binadamu hapo awali/zamani alitumia yote Kwa usawa,Bibi na babu zetu walizaliwa hivyo Lakini baada ya ujio WA DNA MPYA Yani kuingiliwa Kwa DNA kupitia Blood Group/makundi damu Saba/7 Mapya(zingatia ni makundi 7mapya) ambayo ni (+A,-A,+B,-B,+AB,-AB,+O ) yatokanayo na DNA za Mbwa,Nyani aina ya Rhoses(Rh+) na Neadtheral, kulipelekea Vipawa,vipaji vingi kufa Kwa Watu weusi hivyo kusababisha matumizi ya mkono WA kulia na MGUU WA kulia kuwa Kwa 97% huku mashoto wakiwa ni 2% na 1% ikiwa ni wale watumiaji WA vyote ambao group damu zao ni -0( lilifanywa makusudi na whites ili kutokomeza vipaji,vipawa Kwa mtu Mweusi)

Asili ya mtu mweusi ni blood Group -0
Ambaye ni chanzo Cha Ngozi nyeupe Duniani, kundi damu -0 lisipo ingiliwa na UHARIBIFU wowote ule ,mtu ataishi hadi miaka 1200 kama zamani.

📌DNA zinaingiliwaje kupitia mifumo ya damu? Ni rahisi tu,kinachofanyika ni zile chanjo anazopewa mama MJAMZITO hadi mtoto anapozaliwa kuna ajenda za Siri mno kuhusu Kubadili blood group pamoja na kuzorotesha tezi penuel(jicho la tatu) ili tusiinuke Kiroho (hili ni somo Pana napaacha Kwa Leo)

👉Ok iyo ilikuwa ni FAIDA Kwa yule asiyejua mambo hayo,nimalizie MADA yetu nzuri kwamba
ZIPO MBINU AU NJIA NYINGI ZA KUPEANA NYOTA, ACHA NITAJE HIZO TATU TU.

Watu walio kwenye hatari kubwa ya 'kuibiwa' Nyota zao wengi ni wale wa Nyota za Simba na Ng'ombe, wachukue taadhari.

Nyota hizi zinasafisha nyota zote hivyo wenye nyota hizi ni kama dhahabu Kwa Wengine hata km hawajijui.

Kuna namna nyingi za kufanya ili kuilinda nyota yako isichezewe nilishafindisha hapo awali

Nyota yako ikiwa chafu au imechezewa, fanya ufanyavyo, huwezi kutoboa!

SWALI JE UNATAKA KUSAFISHA NYOTA❓


Kwa msaada wa tiba ya nyota, maisha, uchumi, mahusiano na magonjwa, wasiliana nasi

DOGOLI KINYAMKELA ☠️ 💀 (Phd) , mtafiti na mkufunzi wa maswala ya kiroho
 
Unasema vyota ikiwa chafu au imechezewa hutoboi

Alafu unauliza tena je unataka kusafisha nyota yako?

Unamalizia kwa kusema wasiliana nasi kwa msaada.. mawasiliano ya nini na nyota imeshachafuka/kuchezewa siwezi kutoboa tena?


Mkuu haueleweki, unachanganya mafaili sana, umeanza na nyota ukaenda kwenye mikono ya kulia na kushoto ukaja kwenye dna na wazungu.🤯
Ukiendelea kukaza fuvu mkuu ata mama Amina hutampata na kumkamata kamwe🤣🤣🤣
 
Kama kweli umedhamiria,

Changanua DNA hizo huchafuliwa na CHANJO? Maana japo mm sikuhusika na chanjo kupingana lkn bado watoto,vyakula,dawa ect vyaweza kuchafua hali ya hewa

Watu kutembelea nyota ya mtu mwingine kwa nn usiewek waz km ulivyoanza....km sivyo yanarudi pale pale mganga anakupa ndagu yenye mafumbo ili akuweke hatiani ujikute kumtegemea maisha yako yote,akifa ndio full kuteseka....hayo yote ya nini ikiwa ungesema wazi bwana nakuunganisha na jini ko jipange kulipia 7m basi mnamalizana
Dini nazo vile vile,,,mtoto unaambiwa anazaliwa hana hatia,lkn Yesu alifia dhambi zetu,sikuwepo na mtoto anazaliwa mwema why leo naitwa mdhambi kwa dhambi za asili ambazo dini inakiri kuwa mtoto ni malaika,,hapa unagundua tunaingizwa chaka ili tuendelee kuwa wa daiwa wa huyo mungu ili kuzidi kuwa tegemezi,maana km Yesu akijitoa kwa ajili ya dhambi why leo tuitwe wadhambi tena?

sasa na wewe acha kutufanya tegemezi,elekeza kitu kieleweke watu wafanye wanalojua siyo mafumbo km hayo niliyosema
Ukiendelea kukaza fuvu mkuu ata mama Amina hutampata na kumkamata kamwe🤣🤣🤣
Killl
 
KUTEMBELEA NYOTA YA MTU MWINGINE !

Sehemu ya pili

( DOGOLI KINYAMKELA ☠️ 💀 (Dr)


Ukweli ni kwamba Nyota haiibiwi, nyota inadhibitiwa/inachafuliwa/inafunikwa au inamalizwa nguvu na wewe mwenyewe binafsi kulingana na matendo yako, mazingira au watu unaohusiana nao hasa uhusiano wanakuathiri Kwa namna Moja ama ingine.

Huwezi kudhibiti wala kuchafua nyota ambayo tayari mwenye nyota ameijua na anaitumia ipasavyo kwa maana tayari inang'aa hiyo ni sawa na kuizuia SGR kwa kukaa mbele ikiwa kwenye mwendo.

Pia mtu ambaye nyota yake tayari imeng'aa na yupo juu kwa kuwa na utajiri, ushawishi, mamlaka na nguvu kubwa mheshimu kwa sababu kuna kazi kubwa ya ziada kaifanya ili kuhakikisha anabaki juu na anakuwa bora kuliko wengine.hayuko pale Kwa bahati, kwanza hakuna bahati Bali ni malipo ya kile kizuri ulichokifanya AWALI

Kwenye topic ya incarnation & Re-incarnation(kufa na kuzaliwa Tena) nilifundisha kwamba hakuna bahati, ni Neno tu la kufarijiana usijione wewe una nuksi ,jambo la kweli na muhimu Kulifahamu ni Kwamba, wale wote(watoto) wanaozaliwa ndani ya FAMILIYA tajiri ndani Yao zipo nafsi ambazo zilishafanya mambo mengi mazuri ndani ya jamii ENZI za nyuma Kabla hazijavua miili Yani kufa Kisha kurudi,hivyo Karma inakurejesha ndani ya koo au FAMILIYA iliyojaliwa ili upate kiinua mgongo chako,hivyoivyo wewe uliyezaliwa kwenye umaskini WA kutupwa USIMLAUMU baba/mama Yako ,jilaumu mwenyewe kwani ijapokuwa hunakumbukumbu ila ulifanya makosa makubwa maisha ya nyuma pengine ulikuwa tajiri ila ulinyanyasa Watu ,pengine ni Laana ya kifamiliya ama ukoo(curse),

Sasa tuendelee

Kwa ufupi ni kwamba nyota sio kipawa wala talanta kama wengine wanavyodai, nyota ni mwongozo wa maisha tangu kuzaliwa mpaka mauti kwa viumbe wote sio mwanadamu tu na ndiyo maana baadhi ya nyota zinanasibishwa na wanyama na wadudu pia asili yake ikinasibishwa na mazingira yaani maji, upepo, udongo na moto.

👉Nyota ni ushirikina kwa watu wasio na maarifa haya,hata mimi zamani niliamini hivyo na hakuna kitu nilikuwa nakichukia kama utabiri wa nyota ila nilivyojikita kwenye kuuelewa ULIMWENGU ndipo nilipoelewa kwa nini elimu hii inapigwa vita na kunasibishwa na uchawi/ushirikina.

Elimu ya nyota ni zaidi ya uchawi
Elimu ya nyota ni zaidi ya ushirikina

Huwezi kuwa na elimu ya nyota halafu wachawi wakakusumbua au waganga wakakuibia/wakakutapeli.

👉Je, umewahi kusikia watu fulani fulani huko wakisema "fulani anatembelea nyota ya fulani?"

Na je, nini ulikuwa mtazamo wako kuhusiana na kauli hiyo au kauli kama hiyo?

Tumefundisha kwa miaka mingi kuhusiana na elimu ya Nyota na angalau watu wengi sana waliotupinga kwa nguvu zote miaka hiyo, hususani miaka ya 2019 kuja 2020 na 21, wengi wao ni wadau wakuu wa elimu hii siku hizi. Huo ni ushindi kwa waalimu wote wa ELIMU YA NYOTA kwa Afrika Mashariki na Kati; kwa hiyo hapa sitaanza kwa kuelezea maana ya nyota, acha niende moja kwa moja kwenye hoja.

Unaposikia watu wanasema kwamba mtu fulani anatumia nyota ya mtu mwingine au nyota za watu wengine, ni ukweli usiopingika kabisa.
Kuna uwezekano mkubwa endapo mtu akiamua kutumia nyota yako au ya mtu mwingine, kwa ajili ya maslahi yake binafsi, kwa sababu kila mtu ana aina ya nyota inayosapoti mambo fulani tofauti na wenzake.
Aidha, kuna Nyota ambazo zenyewe kwa asili yake zinasapoti nyota zingine hususani Nyota ya Simba na Nyota ya Ng'ombe.

Mtu akianza kutumia nyota yako kwa maslahi yake, ni wazi kwamba wewe unakuwa unamfanyia kazi yeye kwa kujua au bila kujua, unakuwa unamnufaisha yeye.

Kuna njia nyingi za kutumia nyota ya mtu kufanikisha mambo yako, nitataja njia kadhaa:

1. Tendo la ndoa
Hili tendo ambalo wazungu huliita SEX ni tendo ambalo mtu mke na mtu mme wakikutana kimwili, wanabadilishana nishati zao; huyu anabeba za huyu na yule anabeba za mwenzake. Ndio maana ya neno S.E.X ambalo kirefu chake ni Sacred Energy Xchange!
Kila unapokutana kimwili (kingono) na mtu awaye yote, awe mkeo/ mumeo au la, mnachofanya kiroho mnabadilishana nguvu, unampa zako anakupa zake.
Sasa watu wengi wana nguvu au nishati (au roho) chafu ambazo zinaharibu mambo, sasa wakilala na wewe, wanakuachia zao chafu wanabeba za kwako safi, mkitoka hapo wewe unaharibikiwa wao wanasonga mbele (wametumia nyota yako kujisafishia au kuoshea nyota yako)

2. Huduma za jamii
Kama nyota yako ni safi na inang'aa alafu mtu 'akaiona' na akaitaka, anaweza kuanza kujitolea kukusaidia au kukuhudumia mahitaji yako yote bila kuhitaji chochote kutoka kwako.
Kikawaida utamuona ana roho nzuri (ni sawa), lakini kiuhalisia (kiroho) unakuwa unampa uhuru wa kuitumia nyota yako kufanikisha mambo yake.

3. Kugawa fedha na zawadi kama nguo, viatu, saa nk.
Kama mtu 'akiona' nyota yako inang'aa sana, lakini hujitambui, basi anaweza kuichukua 'kwa kuinunua'
Atafanya hivyo kwa kuchukua pesa na kuinuizia manuizo (spells) fulani fulani, kisha atakupatia kwa mkono wa kushoto na atajitahidi kuhakikisha na wewe unapokea kwa mkono huo. Tendo hilo linakuwa ni alama au Ishara ya mauziano, anakuwa amenunua nyota yako.
Asipotumia fedha anaweza kutumia nguo, saa, viatu, soksi au chochote kinachotoka kwenye mwili wake.

Hii ndio Siri ya Mwiko kutumia Mkono wa kushoto kutoa ama kupokea kitu ,sio Kwa sababu ya sijui mkono kutumiwa maliwatonini(msalani) lahasha Bali ni Njia ya kukwepa mchezo mchafu,ndiomaana hata mwanangu anayetumia mkono WA kushoto nimemfundisha kufanya yote Kwa mkono wake huo kwani ubongo wake WA kulia unanguvu zaidi,ila namfunza kutumia MKONO WA kulia Kwa kupokea,kutoa,kulia na kusalimia mtu.

-usimzuie mtoto kutumia mashoto kama amezaliwa hivyo kwani ubongo wake WA kulia unanguvu kuliko ubongo WA kushoto unaoratibu mguu na mkono WA kulia, wazazi wengi huwacharaza watoto ilihali ni maumbile yake,Kwa kufanya hivyo mtoto anakosa ufanisi kwenye tasnia za sanaa,vipawa vya uongozi,uandishi,ualimu,siasa na michezo kwani Hilo ndio eneo lao la kujidai ,kuliko watumiaji WA mkono na MGUU WA kulia ambao ubongo wao wenye nguvu ni WA kushoto wenye kuratibu mambo mengi kwenye TAALUMA,TAKWIMU,tafiti,hisabati,kukariri na HASA mambo ya kufundishwa ili apokee

‼️NAWAIBIA SIRI HII.
matumizi ya mikono na miguu Binadamu hapo awali/zamani alitumia yote Kwa usawa,Bibi na babu zetu walizaliwa hivyo Lakini baada ya ujio WA DNA MPYA Yani kuingiliwa Kwa DNA kupitia Blood Group/makundi damu Saba/7 Mapya(zingatia ni makundi 7mapya) ambayo ni (+A,-A,+B,-B,+AB,-AB,+O ) yatokanayo na DNA za Mbwa,Nyani aina ya Rhoses(Rh+) na Neadtheral, kulipelekea Vipawa,vipaji vingi kufa Kwa Watu weusi hivyo kusababisha matumizi ya mkono WA kulia na MGUU WA kulia kuwa Kwa 97% huku mashoto wakiwa ni 2% na 1% ikiwa ni wale watumiaji WA vyote ambao group damu zao ni -0( lilifanywa makusudi na whites ili kutokomeza vipaji,vipawa Kwa mtu Mweusi)

Asili ya mtu mweusi ni blood Group -0
Ambaye ni chanzo Cha Ngozi nyeupe Duniani, kundi damu -0 lisipo ingiliwa na UHARIBIFU wowote ule ,mtu ataishi hadi miaka 1200 kama zamani.

📌DNA zinaingiliwaje kupitia mifumo ya damu? Ni rahisi tu,kinachofanyika ni zile chanjo anazopewa mama MJAMZITO hadi mtoto anapozaliwa kuna ajenda za Siri mno kuhusu Kubadili blood group pamoja na kuzorotesha tezi penuel(jicho la tatu) ili tusiinuke Kiroho (hili ni somo Pana napaacha Kwa Leo)

👉Ok iyo ilikuwa ni FAIDA Kwa yule asiyejua mambo hayo,nimalizie MADA yetu nzuri kwamba
ZIPO MBINU AU NJIA NYINGI ZA KUPEANA NYOTA, ACHA NITAJE HIZO TATU TU.

Watu walio kwenye hatari kubwa ya 'kuibiwa' Nyota zao wengi ni wale wa Nyota za Simba na Ng'ombe, wachukue taadhari.

Nyota hizi zinasafisha nyota zote hivyo wenye nyota hizi ni kama dhahabu Kwa Wengine hata km hawajijui.

Kuna namna nyingi za kufanya ili kuilinda nyota yako isichezewe nilishafindisha hapo awali

Nyota yako ikiwa chafu au imechezewa, fanya ufanyavyo, huwezi kutoboa!

SWALI JE UNATAKA KUSAFISHA NYOTA❓


Kwa msaada wa tiba ya nyota, maisha, uchumi, mahusiano na magonjwa, wasiliana nasi

DOGOLI KINYAMKELA ☠️ 💀 (Phd) , mtafiti na mkufunzi wa maswala ya kiroho
Huu ushirikina utakufikisha wapi? Tunafaidikaje nao?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom