Yani mkuu wiki moja imepita mtoto unatapika damu bado unaulizia matibabu yanapatikana wapi?
Hujui hospitali nini?
Please mpeleke hospitali mtoto na siku nyingine sio kutapika damu tu bali hata kuharisha damu ni lazima umpeleke mtoto hospitali haraka sana.
Tunaitaji kuelimishwa sana mambo ya afya, hii noma.
Kila la kheri, Mungu amsaidie mtoto apone.