TRA wenyewe Unakuta Wana magumu Yao wanahitaji ufumbuzi .Shida Haina Cha TRA Wala NiniTRA wawaangalie na hawa watu wanaojiita manabii,nao ni wafanya biashara
Wanapata ujasiri wa kuibuka kila siku kwasababu mapato yote ni ya kwao...nyinyi TRA mkianza kuwatambua nao watapunguza kujitangaza
Nashauri kodi yao iwe juu kidogo
Kumbuka kikombe Cha Babu wa Loliondo walienda Hadi TRA,wabunge,mawaziri,wajaji , viongozi wa vyombo vya ulinzi na usalama nk
Shida Haina baunsa.Jeuri mtu anakuwa nayo akiwa mzima tu