SODOKA
JF-Expert Member
- Sep 15, 2012
- 1,658
- 722
jamaa kasoma degree ya Finance and Accounting Mzumbe baada ya kukaaa mtaani miaka mitatu bila ajira ameamua kuapply diploma ya Clinical medicine mwaka huu.........amemaliza form four mwaka 2007 akapata one ya 12 masomo ya science......
hata wewe unayesoma thread hii jfunze kutoka kwa huyu jamaaa.....,,,
nimekutana nae internet cafe anaaply akiwa na code ya airtel money imegoma kuingia inaandika error.
hata wewe unayesoma thread hii jfunze kutoka kwa huyu jamaaa.....,,,
nimekutana nae internet cafe anaaply akiwa na code ya airtel money imegoma kuingia inaandika error.