Dennis Robert Shughuru
JF-Expert Member
- May 30, 2024
- 4,124
- 6,141
Nikiwa Rais wa Tanzania kutaanzishwa hii taasisi ya kupigania maslai ya kiuchumi, rasilimali Tanzania tofauti na usalama wa Taifa ambao utaendelea na jukumu lake la kulinda viongozi
Hii taasisi itakuwa na kazi zifuatazo;-
Uongozi wa hii taasisi
Hii taasisi itakuwa na kazi zifuatazo;-
- Kutafuta waekezaji wa smelter na refining za aina zote na kuzilinda kwa gharama yote kama msingi wa viwanda.
- Kuvutia waekezaji wa viwanda vya secondary mfano viwanda vya magari, simu, nguo, viatu, pharmaceutical, na kuhakikisha gharama za uzalishaji zinakuwa chini sana.
- Kuhakikisha umeme unazalishawa mwingi sana ili uweze kupunguza gharama za viwanda Tanzania.
- Kupigania masoko ya nje ya bidhaa zinazozalishwa Tanzania.
- Kuhakikisha gharama za uzalishaji zinakuwa chini sana hapa Tanzania
- Kuhakikisha mikataba ya madini na rasilimali nyingine zinainufaisha nchi.
- Kuhakikisha rasilimali za nchi hazinufaishi watu wachache na kuzuia ufisadi kwenye rasilimali za nchi.
- Kuitetea nchi kama zikitokea kesi za mikataba na wawekezaji ndani na nje ya nchi.
Uongozi wa hii taasisi
- Kiongozi atakuwa anachaguliwa na Rais bali hataweza kumuondoa baada ya miaka 3 kupita
- Kama akiingia Rais mwingine anaweza muondoa au akamuacha