NIMPENDENANI
JF-Expert Member
- Nov 2, 2014
- 6,114
- 5,380
- Thread starter
-
- #161
Oooooh umekereka eeh,sasa kwahisani yako usikereke,pita kimnya kimnya usitoe POVU ukazidi kujikera,au kama nimekukera kwa kauli yangu wacha ni apologies SAMAHANI sana kama nimekukera..Umenikera sana na kauli zako. Why unaita watu mijitu.
Huna adabu wewe mwanamke
Mkuu nimesamehe sijaenda na nimeapa siendi tena na sijawahi kusukwa tenaaa mpaka leo..Ndo hivo urembo kazi si mchezo.
Sikupenda ile tabia,yakunizizunguka wakanibana vile na madudu yao ,halafu wanaongea kikwao hata sifahamu,kila ukisogea unakutana nao jengine linakugusa,na sijui why hawaoni mtu umenuna hauko confortable lakini still hata hawajali,na haikua bahati mbaya hata kidogo..Uliondoka kwa sababu madudu yao yalikua yanakugusa au kwasababu ya harufu?
Nimekoma mkuu..Na ukome ukomae
Waliniamulia ivoo..Hahahaha eti dudu linakugusa hao walikufanyia makusudi jamani kha!
Walinikera sanaaa...Ulihisi kuingizwa ingizwa nn ukaona umuwahi shemeji kabla mashetani hayajapanda
Wanakera sana,sijawahi kusukwa na wamasai ilikua ndio mara yangu ya kwanza na ya mwisho,wamenifanya sina mood kabisa yakusuka wacha nywele zangu zikae hivi hivi..Kuna dada yangu alikua anawaambia waende bafun wakaoge kabla ya kumsuka na alikua anagombana nao wakitemea mate mikononi ili walainishe sijui ni nywele au mikono!!!R.IP Sisy
mmmmmh,lolNIMPENDENANI njoo nikisuke mimi mhadzabe ninanukia fresh tu halafu ya nyama pori
Nikweli tena wengi mnowapo,rafiki yangu mie masai tena anajipenda Mashallah..
Hebu ngoja kwanza.Habari Wana Chit-Chat,
Naomba kuuliza Wanawake wenzangu, Nilimuona Shogangu kasuka zile nywele za kimasai nikazipenda sanaa sasa nikasema niende na kwakweli sijasuka nna miaka kama 10 sababu mr Hataki This time nikamuomba akakubali baada ya miaka 10 ilikua kama bahati.
Kwakua nyewele zangu ndefu sikuhitaji rasta zakuongezea,haya shosti akanipitia J'pili tukaenda kufika macho yakanitoka kumbe wasusi wanaume wa kimasai nikamuliza mbona wanaume kasema ndio wanaojua wacha ushamba wako haya akaongea nao nikaanza kusukwa mmmmmhhh
Wamenizunguka Wamasai wa 5 sasa ule mkao wao yani wanakugusa na madudu yao huyu na wako busy kuongea kikwao sielewi wanasema nini,shoga nae hayupo,mbaya zaid vikoi vyao vinanuka hatari, nilistahmili kama nusu saa simu yangu ilipoita nikawambia waniache, nilipomaliza simu nikawambia ntarudi baadae nikatoa elfu 20 nikasema nakuja waendele na mteja mwengine mpaka nikirejea sikurejea tenaa.
Sasa niulize wadada mnaosuka ivi hii imenitokea mimi tuu au hawa wamasai ndio TABIA YAO?
Both lakini zaidi za kuguswa sijapenda kabisaaaaaaaaa..Hebu ngoja kwanza.
Kilichokukimbiza ni dushe zao kukugusa.au harufu ya vikoi??
Pole,ndio maana shemeji alikuwa hataki ukasuke.Both lakini zaidi za kuguswa sijapenda kabisaaaaaaaaa..
Wale wamasai walinikusudia...Pole,ndio maana shemeji alikuwa hataki ukasuke.
Alaf naskia hawavaagi underwear wale,kwa jinsi walivyokuwa wanakugusa ni kweli?Wale wamasai walinikusudia...
Nimeshakupuuza kwakuwa duniani hapa hakuna maisha ya dharau binadamu wengine bali kurekebishana na kuonyana.Oooooh umekereka eeh,sasa kwahisani yako usikereke,pita kimnya kimnya usitoe POVU ukazidi kujikera,au kama nimekukera kwa kauli yangu wacha ni apologies SAMAHANI sana kama nimekukera..
Usijikere kwahisani yako sio vizuri,umekereka eeh,usijibu ukajikera ebu achana na hii habari usiji udhi nafsi yako nimesema hivyo sababu wa.linikera sasa usichukulie too personal as if nimekwambia wewe,nimesema wamasai tena wale walio nisukaa wewe sio ulie nisukaa wala sio mmasai sasa unajikerea nini?kwa hisani yako usiudhike...Nimeshakupuuza kwakuwa duniani hapa hakuna maisha ya dharau binadamu wengine bali kurekebishana na kuonyana.
Kama wewe umeona sawa kuwaita Wamaasai "mijitu inayonuka" fine wewe ni mtu unayenukia ila kuna siku utanuka na kuoza.
Kumbuka "hujafa hujaumbika dada yangu"
Sina muda wa kutoleana povu na malaika kama wewe...