Kusomea Sekondari (A-Level) nchini Uganda

Kibuli ss ya kampala.. hii iliyo njia ya kwenda natete karibu na veez club.. acha hii njia ya natete ya lubaga road inayo pita kithende college.. au kibuli ile iliyo karibu na kabaka palace kule juu karibu na eagles nets
 
Kibuli ss ya kampala.. hii iliyo njia ya kwenda natete karibu na veez club.. acha hii njia ya natete ya lubaga road inayo pita kithende college.. au kibuli ile iliyo karibu na kabaka palace kule juu karibu na eagles nets
Kibuli SS iliyo Kibuli Hill, Karibu na Kibuli Mosque.... Umepapata?
 
Kibuli ss ya kampala.. hii iliyo njia ya kwenda natete karibu na veez club.. acha hii njia ya natete ya lubaga road inayo pita kithende college.. au kibuli ile iliyo karibu na kabaka palace kule juu karibu na eagles nets
Wewe unaongelea Lubiri SS.. Karibu na Old Kampala Mosque
 

Kampala Mulunji Nyo Ssebo. Ulyotia Ssebo! Chi Kati. Unakikumbuka Hicho Kiganda Lakini? Mimi Sasa Nina Miaka 15 Nimetoka Uganda Lakini Nakiongea Utadhani Nimezaliwa Nacho Lakini Cha Kushangaza Hao Vijana Wetu Waliopo Huko Hata HAWAKIJUI. Wakati Wachezaji Akina Okwi Na Owino Walipokuwa Simba Nilikuwa Naongea Nao Na Walikuwa Wakifurahi Mno. Na Nilikijua Upesi Ili Nipate Urahisi Wa KUWATONGOZEA Mademu Wa Kiganda Ambao Wengi Wao Ni Wazuri Na Wana " Mainye " Ya Kufa Mtu Na Siyo " Pasi " au " Mchongoma " Kama Nifah Lakini Walikuwa Hawajui Sana KIINGEREZA! Hawa Walimu Wangu Wakuu Wa Kuanzia Bugema Adventist Secondary School Mganda Mr. Methusela Mgumya Na Yule Mzungu Wa Canada Mr. David Hapeworth Wa Kabojja High School Hadi Leo SIWASAHAU Lakini Nashangaa MITOTO Ya Siku Hizi Ipo Shule Na Bado Walimu Wao WAKUU Tu Hawawajui.
 
Ofcoz swala la club na hata stareh nyingne zpo sana ila mara nyingi wanafaid wanafunz wa day ila boarding ni pagum sana pia swala la shule za wakiso ni nzuri nyingi ila kwa majengo na zipo ambazo ni nzuri kwa masomo pia!
 
Yani I have memories of Uganda that I will never forget.. Na zile nightmares za kuchoma dormitories.... watu usiku mko prep...and then the blazes...!!!!
Dah! hapo mmenikumbusha mambo mengi sana... hongereni sana kama mlimalza shule salama! make kuna wengine walishindwa kumaliza shule kwa kujiusisha na mambo yasiyo ya msingi...!
 
Teh teh Mimi nimesoma uhuru mchanganyiko Kaboja ndio kitu gani ? St Lawrence zimeishia wapi ?? GENTAMYCINE
Besides akili za kizanaki au kinyarwanda nazitolea wapi mmasai mimi
St. Lawrence schools (Paris paris, cleamland, crown city, London college) ni shule za starehe zile... performance yao hua ni ya kawaida sana... labda kama wamebadilika shule zile kongwe ndo hatari Kings college Buddo na nyingine km hzo...
 
St. Lawrence schools (Paris paris, cleamland, crown city, London college) ni shule za starehe zile... performance yao hua ni ya kawaida sana... labda kama wamebadilika shule zile kongwe ndo hatari Kings college Buddo na nyingine km hzo...
Oh asante mkuu kwa ufafanuzi
 
Kweli wadogo zetu wanajisahau sana....
 

Shule ulizozitaje mwanafunzi akiyefeli hawezi kupata kama hiyo St Henry Kitovu wanachukua top cream tu
 
asante wakuu,nimefurah kwa ushauri wenu.kuna watu wanasemda uyet vya uganda vinakuwa na utata kwa huku,au ni negative ideologies
 
Me nimemaliza seeta high school ipo mukono... Mpeleke dogo apo hutojuta japo ada yao ipo juu lakini nishule nzuri kuanzia majengo mpaka ufaulu..
 
asante wakuu,nimefurah kwa ushauri wenu.kuna watu wanasemda uyet vya uganda vinakuwa na utata kwa huku,au ni negative ideologies

Hakuna Kitu Kama Hicho ASIKUDANGANYE Mtu ELIMU Ya Uganda Ni Bora Mara 100 Kuliko Ya Tanzania Ila Kwa Sasa Nasi Tanzania Ndiyo Tunaamka. Na Hata HAO Wanaoibeza Ni WIVU TU ULIOTUKUKA Unawasumbua. Elimu Yao Iko Cheap Lakini Pia Ina UBORA MKUBWA Huku Walimu Wao Karibia 99.999% Wakiwa Very Committed. Anayemaliza Form ( Senior ) Four Ya Uganda Anaweza Kushindana Na Mwanafunzi Wa CBE au IFM Kwa UELEWA, MAARIFA Na AKILI Na Anaweza Pia AKAWAZIDI Vile Vile Huku Mwanafunzi Wa Form ( Senior ) Six Ya Uganda Anaweza Kushindana Na Mwanafunzi Wa Mwaka Wa Pili Wa UDSM Isipokuwa Tu Hawezi Kushindana Na Mwanafunzi Wa SAUT! Nifah, UncleBen, Mussolin5 Na MAPOPOMA Wengine Mpo?
 
Kama tunafualisha wasio jua kusoma na kuandika kwenda kidato cha kwanza na watu wa chuo tena kwa ngazi ya masters kutoa uchi au pesa kwa ajili tu ya kuandaliwa Thesis ,sitoshangaa Uganda wakiongoza kwa elimu
 
Kibuli ss ya kampala.. hii iliyo njia ya kwenda natete karibu na veez club.. acha hii njia ya natete ya lubaga road inayo pita kithende college.. au kibuli ile iliyo karibu na kabaka palace kule juu karibu na eagles nets
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…