Maisha ya siku hizi ni kujipanga**
Ukizubaa lazima maisha yatakupanga**
Na usipotumia hakiri lazima utashika panga**
Japo kuwa nimesoma lakini maisha nimeshidwa kuyapanga**
Mmh..! Najiuliza wapi nilipokosea au nirudi shule tena ili niweza kujipanga**
Ajira kwa sasa nimepata lakini hela zote zinakobwa na nyumba za kupanga**
nikisema nitoke mjini,
kijijini nako yaongopa majembe na mapanga**
kweli nimeani dunia ndiye mwalimu wakukupanga**
Maisha ya siku hizi ni kujipanga**
Ukizubaa lazima maisha yatakupanga**
Na usipotumia hakiri lazima utashika panga**
Japo kuwa nimesoma lakini maisha nimeshidwa kuyapanga**
Mmh..! Najiuliza wapi nilipokosea au nirudi shule tena ili niweza kujipanga**
Ajira kwa sasa nimepata lakini hela zote zinakobwa na nyumba za kupanga**
nikisema nitoke mjini,
kijijini nako yaongopa majembe na mapanga**
kweli nimeani dunia ndiye mwalimu wakukupanga**
Ni shiida..!
Anzisheni na nyie forum yenu ya upuuzi.lazima mnao wenzenu mshirikiane katika "mataptap" yenu.
Anzisheni na nyie forum yenu ya upuuzi.lazima mnao wenzenu mshirikiane katika "mataptap" yenu.
Kwenye musafara wa mamba kenge lazima wawe wengi.
Maisha ya siku hizi ni kujipanga.
Ukizubaa lazima maisha yatakupanga.
Na usipotumia hakiri lazima utashika panga.
Japo kuwa nimesoma lakini maisha nimeshidwa kuyapanga.
Mmh..! Najiuliza wapi nilipokosea au nirudi shule tena ili niweza kujipanga.
Ajira kwa sasa nimepata lakini hela zote zinakobwa na nyumba za kupanga.
nikisema nitoke mjini,
kijijini nako yaongopa majembe na mapanga.
kweli nimeani dunia ndiye mwalimu wakukupanga.