Ethan hunt
Member
- Feb 6, 2021
- 20
- 8
Salam,
Je, naweza kusoma IT nimefeli Fizikia tu kama naweza ni kozi gani nzuri chuo bora cha binafsi au serikali ila ada iwe nafuu napendelea mkoa wa Dar.
Nitashukuru kwa msaada
Je, naweza kusoma IT nimefeli Fizikia tu kama naweza ni kozi gani nzuri chuo bora cha binafsi au serikali ila ada iwe nafuu napendelea mkoa wa Dar.
Nitashukuru kwa msaada