Nitamchagua diwani na Mbunge kutoka UKAWA na si zaidi ya hapo. Kwa siye tuaminiao kwenye misingi na tunu Lowassa hachaguliki, kumchagua Lowassa sawa na Kujitia Kidole Matakoni kamwe siwezi,nawatakia kila la kheri muiwezayo kazi hiyo!
unaweza ona unajitia kidole kwa EL, kumbe kuna dole gumba lenye makucha laweza zama loote na kuacha alama za michubuko...pole sana kwa yule kijana ambaye hapendi mabadiliko