mwengeso
JF-Expert Member
- Nov 27, 2014
- 9,286
- 6,727
Wanajamvi, ninaamini tumekuwa na w/endi njema na tulivu huku kwingineko tukihamasishana kutoa misaada kwa walioathirika na tetemeko mkoa wa Kagera.
Nia ya mada hii ni kukumbushana maana halisi na thawabu za kusamehe, ikizingatiwa na ukweli kwamba wengi wengi tunapenda kulaumu, kuomba lakini kusamehe au kushukuru hua ni kama adhabu.
Haipaswi kuhukumu mtu anapokesea, kwani kila binadamu ni dhaifu kwa namna moja au nyingine. Unapolaumu, maana yake unayemlaumu unamtenga. Jifikirie ukitengwa wewe uchungu utakaoupata!
Unapokataa kusamehe maana yake wewe hutendi makosa na ukitenda makosa nawe hutegemei kusamehewa. Ukisamehewa unakuwa na amani, na ukisamehe unapata baraka za uliyemsamehe. Lakini vijana siku hizi, kila la wenzao ni baya kwao. Wajuaji kuliko.
JE, MARA YA MWISHO ULISAMEHE, NAWE ULISAMEHEWA LINI?
Nia ya mada hii ni kukumbushana maana halisi na thawabu za kusamehe, ikizingatiwa na ukweli kwamba wengi wengi tunapenda kulaumu, kuomba lakini kusamehe au kushukuru hua ni kama adhabu.
Haipaswi kuhukumu mtu anapokesea, kwani kila binadamu ni dhaifu kwa namna moja au nyingine. Unapolaumu, maana yake unayemlaumu unamtenga. Jifikirie ukitengwa wewe uchungu utakaoupata!
Unapokataa kusamehe maana yake wewe hutendi makosa na ukitenda makosa nawe hutegemei kusamehewa. Ukisamehewa unakuwa na amani, na ukisamehe unapata baraka za uliyemsamehe. Lakini vijana siku hizi, kila la wenzao ni baya kwao. Wajuaji kuliko.
JE, MARA YA MWISHO ULISAMEHE, NAWE ULISAMEHEWA LINI?