Kusajili gari lenye spare parts za kuunga unga

Kusajili gari lenye spare parts za kuunga unga

Laiswa

Member
Joined
Jun 28, 2018
Posts
74
Reaction score
109
Wakuu,

Naomba niende moja kwa moja kwenye mada.

Mimi nilinunua body ya gari x , nikaunga unga na spare parts tofauti (engine , gear box nk) tena hadi gari ikasimama vizuri sana.

Changamoto ni kwenye usajili sijui nanzia wapi.
 
Wakuu,

Naomba niende moja kwa moja kwenye mada.

Mimi nilinunua body ya gari x , nikaunga unga na spare parts tofauti (engine , gear box nk) tena hadi gari ikasimama vizuri sana.

Changamoto ni kwenye usajili sijui nanzia wapi.
Ni gari aina gani?
 
Wakuu,

Naomba niende moja kwa moja kwenye mada.

Mimi nilinunua body ya gari x , nikaunga unga na spare parts tofauti (engine , gear box nk) tena hadi gari ikasimama vizuri sana.

Changamoto ni kwenye usajili sijui nanzia wapi.
Hiyo bodi si ilikuwa na usajili?la sivyo utailpa km gari uliyoagiza nje
 
Au hutaki usajili wa hilo body la gari x unataka namba latest EMA?
 
Angalia usiiendeshe kwa spidi kubwa.

Isije bodi ikaachiana na injini.

Mana mambo ya kuungaunga gari kupitia fundi maiko sio poa.
 
Wewe uitwe mwizi then uwe mnyenyekevu Mkuu ?
Hiyo gari kabla hujaanza kufanya yote uliyofanya ilitakiwa uwe na uhakika wa usajili wake. Vinginevyo litakutia matatizoni.

Vipi kama wazee wa kuchinja walinunua gari ya wizi ambako vifo vilihusika? Au vipi kama ilikuwa inatafutwa kwa usafirishaji wa madawa ya iulevya? Au vipi kama liliingizwa nchini kinyemela? Halafu wakanyofoa spare parts zote na kuuza likabaki bodi liende kwa watu wa skrepa.

Omba liwe salama Vinginevyo utatakiwa kulipa ushuru wa gari mpya au kama lilihusika katika uhalifu basi utakuwa hatiani.

Kama huna kadi na huna uhakika wa kuipata kaa na hao watu wa gereji watajua namna ya kukusaidia. Mtu akikufuata kutoka humu akusaidie achana naye unaweza geuka kuwa fursa
 
Hapa kuna kitu nimekumbuka uwa kuna magari yanakuwaga na plate namba za hivi karibuni ila muonekano nimechoka hatari uwa sipati majibu vizuri
 
Hapa kuna kitu nimekumbuka uwa kuna magari yanakuwaga na plate namba za hivi karibuni ila muonekano nimechoka hatari uwa sipati majibu vizuri
Hizo ni zile TZ kabla ya T101 AAB,, likifufuliwa linapewa usajili mpya,, hapa mtaani kuna pajero ya mwaka 92,,lina usajili wa EHB hapo mwanzo ilikuwa TZ
 
Mchawi chasis aliekuuzia body ndio akupe na kadi.

Engine na gearbox zinabadirishwa hazina shida.
 
Hapa kuna kitu nimekumbuka uwa kuna magari yanakuwaga na plate namba za hivi karibuni ila muonekano nimechoka hatari uwa sipati majibu vizuri
Ni zile gari za miradi au serikali zikiuzwa wakibadili namba unapata E ila gari ya miaka 15 nyuma ndani ya Tanzania.
 
Back
Top Bottom