Kusaidia CCM kwenye uchaguzi mkuu 2015 ilikuwa laana? Mbona wote waliojitolea wanadhalilika?

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
127,833
244,346
Wakuu , natanguliza salamu ,

Nimejikuta najiuliza sana kuhusiana na hili , tuanze na Nape , mchango wa mtu huyu kwenye uchaguzi ule mnaufahamu na kilichomtokea mnajua , Antony Diallo pamoja na kuvunja hata sheria ya vyombo vya habari , lakini sasa inatamkwa kwamba amefirisika

Taarifa zinaonyesha kwamba Lipumba hata kwenda kuoga tu ni lazima alindwe na polisi , Salum Jecha hata misikiti imemtenga , na kwa sasa ni kama anaabudu vifaru vinavyomlinda .

Yanayompata Lubuva nayo yanasononesha , taarifa zinadokeza kwamba mzee wa watu hata usingizi hapati , unalazimishwa kurudisha chenji huku bado tume inadaiwa !

Orodha ni ndefu sana , bali itoshe tu kusema wengi walioipigania wametoswa vibaya sana , huku waliojitenga nayo na wale waliokuwa wanaikosoa kufa na kupona WAMEULA , mfano halisi ni Kabudi , Mkumbo , Ndalichako na wengine kibao .

Je ni kweli kwamba ilikuwa ni kujitafutia laana kuipigania ccm , chama kilicholeta umasikini wa kutisha nchini Tanzania kwa karibu karne 1 ?
 
Hakuna laana.

Ni mazoea yao ya awamu zilizopota za kuwajaza pesa za wananchi ovyo ovyo, awamu hii ya JPM halikuwepo hilo. Na 2020 kama kawaida wengi watapigia debe chama chao cha CCM.

Hapa kazi tu.
 
Wakuu , natanguliza salamu ,

Nimejikuta najiuliza sana kuhusiana na hili , tuanze na Nape , mchango wa mtu huyu kwenye uchaguzi ule mnaufahamu na kilichomtokea mnajua , Antony Diallo pamoja na kuvunja hata sheria ya vyombo vya habari , lakini sasa inatamkwa kwamba amefirisika

Taarifa zinaonyesha kwamba Lipumba hata kwenda kuoga tu ni lazima alindwe na polisi , Salum Jecha hata misikiti imemtenga , na kwa sasa ni kama anaabudu vifaru vinavyomlinda .

Yanayompata Lubuva nayo yanasononesha , taarifa zinadokeza kwamba mzee wa watu hata usingizi hapati , unalazimishwa kurudisha chenji huku bado tume inadaiwa !

Orodha ni ndefu sana , bali itoshe tu kusema wengi walioipigania wametoswa vibaya sana , huku waliojitenga nayo na wale waliokuwa wanaikosoa kufa na kupona WAMEULA , mfano halisi ni Kabudi , Mkumbo Ndalichako na wengine kibao .

Je ni kweli kwamba ilikuwa ni kujitafutia laana kuipigania ccm , chama kilicholeta umasikini wa kutisha nchini ?
Says the horny!
 
Lengo ni kuondoka hapa tulipo, uwe ccm, chadema , cuf nk ukizingua utawajibishwa, km una mawazo ya enzi za kupigiana magoti na kusafishana uko uko. Kwa sasa tunajenga nchi subiri uo msukule ushinde ili mruhusu mpk majaambazi kupewa lesen kwa sasa utalilia sn.
 
Wakuu , natanguliza salamu ,

Nimejikuta najiuliza sana kuhusiana na hili , tuanze na Nape , mchango wa mtu huyu kwenye uchaguzi ule mnaufahamu na kilichomtokea mnajua , Antony Diallo pamoja na kuvunja hata sheria ya vyombo vya habari , lakini sasa inatamkwa kwamba amefirisika

Taarifa zinaonyesha kwamba Lipumba hata kwenda kuoga tu ni lazima alindwe na polisi , Salum Jecha hata misikiti imemtenga , na kwa sasa ni kama anaabudu vifaru vinavyomlinda .

Yanayompata Lubuva nayo yanasononesha , taarifa zinadokeza kwamba mzee wa watu hata usingizi hapati , unalazimishwa kurudisha chenji huku bado tume inadaiwa !

Orodha ni ndefu sana , bali itoshe tu kusema wengi walioipigania wametoswa vibaya sana , huku waliojitenga nayo na wale waliokuwa wanaikosoa kufa na kupona WAMEULA , mfano halisi ni Kabudi , Mkumbo Ndalichako na wengine kibao .

Je ni kweli kwamba ilikuwa ni kujitafutia laana kuipigania ccm , chama kilicholeta umasikini wa kutisha nchini Tanzania kwa karibu karne 1 ?
hata kinana ndo imetoka tayari
 
Lengo ni kuondoka hapa tulipo, uwe ccm, chadema , cuf nk ukizingua utawajibishwa, km una mawazo ya enzi za kupigiana magoti na kusafishana uko uko. Kwa sasa tunajenga nchi subiri uo msukule ushinde ili mruhusu mpk majaambazi kupewa lesen kwa sasa utalilia sn.
Na wanaomsafisha Bashite kwa kujifanya hawajui chochote juu yake mmeshaanza kuwachukulia hatua?
 
Wakuu , natanguliza salamu ,

Nimejikuta najiuliza sana kuhusiana na hili , tuanze na Nape , mchango wa mtu huyu kwenye uchaguzi ule mnaufahamu na kilichomtokea mnajua , Antony Diallo pamoja na kuvunja hata sheria ya vyombo vya habari , lakini sasa inatamkwa kwamba amefirisika

Taarifa zinaonyesha kwamba Lipumba hata kwenda kuoga tu ni lazima alindwe na polisi , Salum Jecha hata misikiti imemtenga , na kwa sasa ni kama anaabudu vifaru vinavyomlinda .

Yanayompata Lubuva nayo yanasononesha , taarifa zinadokeza kwamba mzee wa watu hata usingizi hapati , unalazimishwa kurudisha chenji huku bado tume inadaiwa !

Orodha ni ndefu sana , bali itoshe tu kusema wengi walioipigania wametoswa vibaya sana , huku waliojitenga nayo na wale waliokuwa wanaikosoa kufa na kupona WAMEULA , mfano halisi ni Kabudi , Mkumbo Ndalichako na wengine kibao .

Je ni kweli kwamba ilikuwa ni kujitafutia laana kuipigania ccm , chama kilicholeta umasikini wa kutisha nchini Tanzania kwa karibu karne 1 ?
daaaaa, ndugu umegusa panapo. umeniamshia maumivu jamani. Mimi binafsi nilikuwa team CCM, Team Magufuri mwanzo mwisho. Nilikosana hadi na rafiki zangu na hata baadhi ya ndugu na jirani sababu ya kupigia debe CCM. baada ya uchaguzi kilichonikuta... ni siri yangu, japo sababu ndo nadhani ni laana za kushadadia CCM kipindi cha kampeni. Naona aibu hata kukutana ba baadhi ya watu. Anyway acheni tu
 
Nyumbu mmoja anaanzisha mada kuhusu Dialo kudaiwa na Nyumbu mwingine anaanzisha mada nyingine kwa kudandia mada ya nyumbu wa kwanza.
 
daaaaa, ndugu umegusa panapo. umeniamshia maumivu jamani. Mimi binafsi nilikuwa team CCM, Team Magufuri mwanzo mwisho. Nilikosana hadi na rafiki zangu na hata baadhi ya ndugu na jirani sababu ya kupigia debe CCM. baada ya uchaguzi kilichonikuta... ni siri yangu, japo sababu ndo nadhani ni laana za kushadadia CCM kipindi cha kampeni. Naona aibu hata kukutana ba baadhi ya watu. Anyway acheni tu
Mungu akusamehe sana .
 
Siasa ni maisha mkuu,yan ukitafakari vzr utagundua kila kinachojiri duniani kina mkono wa siasa,kwa hiyo kuwa duniani na kutowaza siasa ni sawa na kuwaza peponi pasipo kuwaza kifo.
Asante sana mkuu .
 
Umeanza kunishawishi taratibu
Ha haaa,ndo hvo kaka watu weng hata kupiga kura huwa wanadhan wanapoteza mda kuwatengenezea wengne kula ila kimsing wanasiasa ndo wanaamua tuishi vp wakiamua tulale mchana usiku tutoke itakuwa hvo. Ujeruman miaka hiyo waliamini siasa ni game ya maskini na wasio na elimu na waliwaachia zoez la kupiga kura wakamchagua Hittler baada ya kuwashawish kwny campaign kilichofata hamna rangi matajir na wasomi waliacha ona,uchaguz uliofata matajir na wasomi walikua mstar wa mbele kwny vituo baada ya kugundua siasa ndo kila kitu mkuu hii nadhan next election hapa kwetu itajitokeza pia.
 
daaaaa, ndugu umegusa panapo. umeniamshia maumivu jamani. Mimi binafsi nilikuwa team CCM, Team Magufuri mwanzo mwisho. Nilikosana hadi na rafiki zangu na hata baadhi ya ndugu na jirani sababu ya kupigia debe CCM. baada ya uchaguzi kilichonikuta... ni siri yangu, japo sababu ndo nadhani ni laana za kushadadia CCM kipindi cha kampeni. Naona aibu hata kukutana ba baadhi ya watu. Anyway acheni tu
Ndo wale wale mlotegemea mteremko.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom