muhomakilo jr
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 13,408
- 9,861
Daah hiyo haijakaa sawa..Ukiwa mgeni pale mjengoni mwao Mikocheni umesimama kwenye counter unasubiri huduma, ikatokea jamaa anaingia mlangoni, basi atakuja mlinzi atakushurutisha kwa ukali ukae chini Bwana Mkubwa anaingia!! Wote mnaosubiri kwenye sehemu ya Wageni lazima mkae chini hadi apite ndiyo mnaruhusiwa kusimama. Daah! Jamaa ananata na kujifanya kama Mfalme au Mtu Muhimu Sana. Kudadeki!