Kuanzia tarehe moja August taanza likizo ya mwezi mmoja, nimeplan kufanya road trip kuanzia Dar - Moshi - Arusha - Babati-Mara- mwanza-Geita-Kagera -Kigoma-Katavi-Sumbawanga-Mbeya-Songea-Mtwara-Lindi then Dar...
Kwa mdau anayejua changamoto yoyote kwenye hiyo root naomba anijuze ....