Wakuu kwema!
Niende directly katika mada husika, nimeibiwa simu leo na bodaboda mida ya asubuhi uzuri IMEI namba niliandika pembeni hivyo nimeenda mtandao husika nimeifunga kabisa, nachohitaji ni kurudisha simu lakini sitaki kupitia polisi mwenye ujuzi nifanye nn nakaribisha mawazo yenu wadau!
Niende directly katika mada husika, nimeibiwa simu leo na bodaboda mida ya asubuhi uzuri IMEI namba niliandika pembeni hivyo nimeenda mtandao husika nimeifunga kabisa, nachohitaji ni kurudisha simu lakini sitaki kupitia polisi mwenye ujuzi nifanye nn nakaribisha mawazo yenu wadau!