david magessa
Member
- Feb 4, 2019
- 13
- 2
Habari wadau wa elimu mi naitwa David.
Nilibahatika kwenda kidato cha tano comb pcb mwaka jana(2018/2019) kwa ufaulu wa division 2 kidato cha 4.
Kwa bahati mbya nilifukuzwa shule mwak jana mwshoni nilikuwa nauliza naweza pata tena shule ya serikal kwend kusoma na kuanza tena kidto cha tano na kuclear makosa yangu, kwa mana sio kama sina akili, akili ninayo na uwezo wa kusoma nakufaulu mungu amenipa.
Naombeni msaada wa maoni kwa wazoefu kama nitafanikiwa katika hili.
Asnteni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilibahatika kwenda kidato cha tano comb pcb mwaka jana(2018/2019) kwa ufaulu wa division 2 kidato cha 4.
Kwa bahati mbya nilifukuzwa shule mwak jana mwshoni nilikuwa nauliza naweza pata tena shule ya serikal kwend kusoma na kuanza tena kidto cha tano na kuclear makosa yangu, kwa mana sio kama sina akili, akili ninayo na uwezo wa kusoma nakufaulu mungu amenipa.
Naombeni msaada wa maoni kwa wazoefu kama nitafanikiwa katika hili.
Asnteni.
Sent using Jamii Forums mobile app