naongeaa nikiwa na ushahidi.... kwa nyieee mliombeaaa nacte majina baado hayajapelkwaa chuoni,,,(udom) kwaiyooo waliofikaa juzi jumamosii,, waliambiwaa waende nacte kudai majina,,, najibuu nikwamba wameambiwaa wasubiri mpka mwezi wa 12,
hii ndo tz,,, kaka,,, bora uendee nacte kulikoo kuharibuuu naulii mpka udom,,, safari njema
Nini kinakufanya kila unapomaliza neno uandike irabu mbili? Na wewe upo university?
We utakuwa Mwl, tena wa civics,upo kazin leo?
Yah niko mzigoni
naongeaa nikiwa na ushahidi.... kwa nyieee mliombeaaa nacte majina baado hayajapelkwaa chuoni,,,(udom) kwaiyooo waliofikaa juzi jumamosii,, waliambiwaa waende nacte kudai majina,,, najibuu nikwamba wameambiwaa wasubiri mpka mwezi wa 12,
hii ndo tz,,, kaka,,, bora uendee nacte kulikoo kuharibuuu naulii mpka udom,,, safari njema