Ionee huruma Tanzania, iokoe kutoka kwenye maangamizi ya kizazi cha sasa na kile kijacho kwa kumpigia kura Dr. Slaa. Watanzania tuache ushabiki na tuwe serious ktk mambo ya msingi hususan mustakabali wa taifa letu kwa sasa na siku zijazo. Tumepoteza mambo mengi na kukosa mwelekeo ila tukiamua sasa tunaweza kuona mwanga na kupata mwelekeo. Tujitokeze wote trh 31-Oktoba-2010 na kumwinua Dr. Slaa akamate usukani wa kuliongoza taifa hili