ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,080
- 84,972
Mtaamua wenyewe,Mimi Sina interest Kwa Sasa Rais wangu anaenda anamlizia ngwe yake 2030.
Hao Jamaa Wana mfanano Kwa kiasi Fulani lakini linapokuja suala la ustawi wa kiuchumi na biashara basi Mwigulu ana advantage.
Ila kama mnataka statesman ,mwenye kaustaarabu na maamuzi yasiyo ya kutaka sifa na kukurupuka basi ni Majaliwa.
My Take
Simpigii mtu Kampeni Wala Sina interest na wote wawili hapo Juu,Rais wangu Mimi anamaliza mda wake 2030.
Nje ya hao sijaona mwingine huko CCM wa kukabiliana na Nguvu ya upinzani na ambae anakubalika na mfumo so sitoshangaa kuona utaratibu wa PM kutokuwa Rais kuvunjwa Rasmi kama ulivyovunjwa utaratibu wa VP kuwa Rais.
Bila shaka kanisa la mitume litakuwa nyuma ya Katelephone ikiwa watakosa mtu wao.
Hao Jamaa Wana mfanano Kwa kiasi Fulani lakini linapokuja suala la ustawi wa kiuchumi na biashara basi Mwigulu ana advantage.
Ila kama mnataka statesman ,mwenye kaustaarabu na maamuzi yasiyo ya kutaka sifa na kukurupuka basi ni Majaliwa.
My Take
Simpigii mtu Kampeni Wala Sina interest na wote wawili hapo Juu,Rais wangu Mimi anamaliza mda wake 2030.
Nje ya hao sijaona mwingine huko CCM wa kukabiliana na Nguvu ya upinzani na ambae anakubalika na mfumo so sitoshangaa kuona utaratibu wa PM kutokuwa Rais kuvunjwa Rasmi kama ulivyovunjwa utaratibu wa VP kuwa Rais.
Bila shaka kanisa la mitume litakuwa nyuma ya Katelephone ikiwa watakosa mtu wao.