TURUFUDUME
Member
- Dec 14, 2014
- 70
- 39
Ikiwa imebakia takriban miez minne tu kabla ya watanzania ya watanzania kupiga kura ili kucha madiwani, wabunge na rais wa jamhuri ya mungano wa Tanzania, nå madiwani wawakilishi nå rais wazanzibar kwa upande wa Zanzibar, nimeonaniwakumbushe wale wasiojielewa mana kuna mijitu haitaki kupiga kura utaiskia " MIMI NA SIASA VITU TOFAUTI", Huyu huyu ndio wakwañza anaelalamika watoto wake wamekosa mkopo, dola ipo juu umeme ghali n.k, hajawahi kujiuliza nani anaesababisha haya, lakin mapenzi ya Daimond na wema anayajuwa mwanzo mwisho utafkir yeye ndio mshenga wao ( tena tena unamkuta ni mtoto wa kiume) lakini humwambii kitu kuhusu bongo muvi anawajua wote nå jinsia zao, maskini watanzania nani katuroga? hebu tuweni Sirius kwenye mambo muhimu. Waelimishe na wengine ili wakajiandikishe