Kura ya maoni kuhusu Muungano-ITV

Kura ya maoni kuhusu Muungano-ITV

Dingswayo

JF-Expert Member
Joined
May 26, 2009
Posts
4,019
Reaction score
2,930
Hii ni taswira ya kura ya maoni inayoendelea katika ukurasa wa Kiswahili wa tovuti wa IPP. Ni dhahiri kwamba kura hii ni kielelezo cha jinsi wananchi kwa ujumla watakavyo piga kura kuamua muundo wa muungano. Wale wanaojifanya wabishi na kujidai hii nchi ni yao waone kabla ya kujaribu kulazimisha mambo.

Kura.JPG

 
Muungano upi ,hivi hamjui kama mnachelewesha watu ,yaani CCM wanajua kula na vipofu ,eti ! waZanzibari hao wanaondoka na leseni ya mafuta na gesi:wave:
 
Hii ni taswira ya kura ya maoni inayoendelea katika ukurasa wa Kiswahili wa tovuti wa IPP. Ni dhahiri kwamba kura hii ni kielelezo cha jinsi wananchi kwa ujumla watakavyopiga kura kuamua muundo wa muungano. Wale wanaojifanya wabishi na kujidai hii nchi ni yao waone kabla ya kujaribu kulazimisha mambo.

View attachment 146793


Jinsi ya kupiga kura Msaada mkuu.

Maana mimi naitaka Tanganyika yangu na Serekali Tatu ndio njia pekee iliyobaki ya kunipatia Tanganyika yangu.
 
Aina hii ya kura haina uhasilia. Wangepiga kura kama hii Kalenga na uchaguzi wa chopa 3 kata 3 chadema wangeshinda lakini si uhalisia
 
inaendana sawasawa na ile ya tume ya jaji Warioba
 
Aina hii ya kura haina uhasilia. Wangepiga kura kama hii Kalenga na uchaguzi wa chopa 3 kata 3 chadema wangeshinda lakini si uhalisia
Kura hii ya maoni kule Kipatimu, Loliondo, Nyakanyazi,Nkasi,Ihung'wa wanaijua au mnajifurahisha tu?
 
Nimepiga kura mara mbili ili kujua reliabilty.
The poll is not reliable!
You cana vote many times to push the %.
IPP should come with a better polling system
 
Kuingia katika mfumo mpya kabla ya kujiondoa kwenye mfumo wa awali si haki na sawa. Kama tuko serious na issues vema kuuvunja kwanza huu muungano wa awali halafu ipite kura ya maoni kwetu wananchi kupata ridhaa ya huo muundo wa serikali tatu kabla ya kuja na hiyo rasimu inayojadiliwa. Hapa namaanisha tuwe na Tanganyika kwanza yenye katiba yake ndipo iandaliwe hiyo katiba ya serikali ya tatu (muungano).
 
Nimepiga kura mara mbili ili kujua reliabilty.
The poll is not reliable!
You cana vote many times to push the %.
IPP should come with a better polling system

Kweli mkuu hata mimi nimeweza kupiga kura zaidi ya mara nne......voting not reliable
 
Nimepiga kura mara mbili ili kujua reliabilty.
The poll is not reliable!
You cana vote many times to push the %.
IPP should come with a better polling system

Nami nimeliona hilo... Lakini kwa utashi wangu na uaminifu sikutaka kadanganya na hivyo kuharibu utaratibu uliowekwa. Nimepiga kura mara moja tu.
 
kama wewe hujapiga please fungua hapa na utumie haki yako kueleza hisia zako.
Home

Asante mkuu nimesha timiza wajibu wangu.

Pia kuanzia sasa ili kuonyesha hisia zangu kwa Tanganyika kila mwisho wa post yoyote nitakayo post hapa nitafunga kwa maneno.
BACK TANGANYIKA
tafadhari kama unaniunga mkono nawe fanya hivyo kila mwanzo au mwisho wa post yako.
 
Back
Top Bottom