mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 93,950
- 132,287
Mimi naona siyo lazima kila mtu awe anaenda na gari mjini wengine mngekua mnayaacha makwenu.Tumieni daladala punguza adha ya foleni hata hvyo kwanza hakuna hata raha ya ku drive gari mateso tuuuuu au ndiyo ile kila mtu anataka aonekane ana gari.