1.Barua ya polisi-loss report
2.Barua ya mkuu wa shule uliyosoma ikiwa na pasipoti yako
3.Ukifika baraza unapewa maelekezo kutangaza kwenye gazeti la serikali i.e. Habari Leo au Daily News
Kwa habari leo kile kijitangazo ni 20,000 na Daily News ni kama 40,000 usiniulize ni kwanini tofauti.
4.Baada ya hilo tangazo/gazeti kuwepo mtaani kwa siku saba 7 ndo unakata ile page yenye tangazo lako na
unapeleka pale NECTA then unapewa kibali cha kwenda kulipia bank kama 10,000 hivi hapo CRDB Kitijinyama afu matokeo yako yanapelekwa sehemu husika.
NB:HAKUNA CHETI KIPYA BAADA YA KUPOTEZA CHA AWALI-USIDANYAKE
HUPEWI MATOKEO YAKO DIRECT KAMA NI SEHEMU UMEFANYA APPLICATION NECTA WATATUMA MATOKEO YAKO DIRECT HUKO.
Mimi ni mhanga wa hii mambo ndo maana nimeliweka wazi kwa wengine ili wajue au usiibiwe.
Tycoon.