Kupokea mzigo kutoka AliExpress

Kupokea mzigo kutoka AliExpress

EFG

Member
Joined
Sep 26, 2021
Posts
20
Reaction score
5
IMG_20211216_094030.jpg

Hiyo notification nimeona katika akaunti yangu ya AliExpress.

Je? kwa maana hiyo naweza kwenda kupokea parcel yangu posta?

Kwa ambao mshawahi kununua vitu online naomba mnishauri. Natakiwa nifanyeje hapo.
 
View attachment 2045726
Hiyo notification nimeona katika akaunti yangu ya AliExpress.

Je? kwa maana hiyo naweza kwenda kupokea parcel yangu posta?

Kwa ambao mshawahi kununua vitu online naomba mnishauri. Natakiwa nifanyeje hapo.
Ukiona neno Arrival at destion country or item ready to pick up nenda ,huenda ukawa hauko Dar na hio ikawa ni notification ya mzigo kufika GPO (general postal office) so bado haujafika posta yako,ila yote yawezekana
 
  • Thanks
Reactions: EFG
Ukiona neno Arrival at destion country or item ready to pick up nenda ,huenda ukawa hauko Dar na hio ikawa ni notification ya mzigo kufika GPO (general postal office) so bado haujafika posta yako,ila yote yawezekana

Nipo Moshi. na Kwenye tracking inaonesha mzigo umefika moshi
 
Ukiona neno Arrival at destion country or item ready to pick up nenda ,huenda ukawa hauko Dar na hio ikawa ni notification ya mzigo kufika GPO (general postal office) so bado haujafika posta yako,ila yote yawezekana
Screenshot_20211216-094000.jpg
 
Nenda posta kiongozi kachukue mzigo wako thou ilitakiwa uwe notified ,posta zetu ili upate uhakika wa kupewa taarifa kila item zako zikifika jenga urafiki na mhusika ,utakua unaletewa ata kwako.
sawa mkuu na hiyo tracking number ni ipi?
 
Tracking number ni namba ya mzigo kiongozi ,seller alipo tuma item zako unapewa namba inayoanza na vi herufi
 
  • Thanks
Reactions: EFG
Je? kwa maana hiyo naweza kwenda kupokea parcel yangu posta?

Kwa ambao mshawahi kununua vitu online naomba mnishauri. Natakiwa nifanyeje hapo.
1. Umepata lini hiyo email?
2. Je, uliandika namba yako ya simu?

Kama email umeipata siku za karibuni, na uliandika namba ya simu, basi vumilia utatumia message na Posta! Mzigo inaweza ikawa umefika posta lakini ikawa bado sorted. Yaani, Posta wakishapokea mizigo, wanaipanga kwenye madaraja tofauti tofauti including yale yanayotakiwa kupitia TRA! Baada ya hapo, wanatuma message ingawaje wakati mwingine, especially kwa hii free shipping parcels, mzigo unaweza kufika posta na ukasubiri na kusubiri na bado message usiipate!!
 
1. Umepata lini hiyo email?
2. Je, uliandika namba yako ya simu?

Kama email umeipata siku za karibuni, na uliandika namba ya simu, basi vumilia utatumia message na Posta! Mzigo inaweza ikawa umefika posta lakini ikawa bado sorted. Yaani, Posta wakishapokea mizigo, wanaipanga kwenye madaraja tofauti tofauti including yale yanayotakiwa kupitia TRA! Baada ya hapo, wanatuma message ingawaje wakati mwingine, especially kwa hii free shipping parcels, mzigo unaweza kufika posta na ukasubiri na kusubiri na bado message usiipate!!
sijatumia free shipping
 
1. Umepata lini hiyo email?
2. Je, uliandika namba yako ya simu?

Kama email umeipata siku za karibuni, na uliandika namba ya simu, basi vumilia utatumia message na Posta! Mzigo inaweza ikawa umefika posta lakini ikawa bado sorted. Yaani, Posta wakishapokea mizigo, wanaipanga kwenye madaraja tofauti tofauti including yale yanayotakiwa kupitia TRA! Baada ya hapo, wanatuma message ingawaje wakati mwingine, especially kwa hii free shipping parcels, mzigo unaweza kufika posta na ukasubiri na kusubiri na bado message usiipate!!
Screenshot_20211216-130441.jpg

Kwa hiyo hapo nisubiri mpaka wanipigie simu? Kilangi masanja
 
View attachment 2045726
Hiyo notification nimeona katika akaunti yangu ya AliExpress.

Je? kwa maana hiyo naweza kwenda kupokea parcel yangu posta?

Kwa ambao mshawahi kununua vitu online naomba mnishauri. Natakiwa nifanyeje hapo.
Watakupgia au kukutumia msg wao wenyewe ila uwa wanachelewa sana
 
  • Thanks
Reactions: EFG
Hapo mzee bado, itabidi utulie kwa sababu hata posta hujafika. Ukishafika, na mizigo yote kuwa sorted, utatumia message.
Nishachukua mzigo mkuu,kumbe ulikua ushafika lakini sms hawajatuma wala kupiga simu.
 
Back
Top Bottom