Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 45,030
- 111,617
Hapana maana huwa na ujinga wangu mda mwngine sitolitendea haki hilo jina
Kisima cha hekima
Hapana maana huwa na ujinga wangu mda mwngine sitolitendea haki hilo jina
Kisima cha hekima
Kwakweli kuna haja yakujiongeza hapo
Sio la saba B ni form v HglJamaa kaanza kumtongoza huyu manzi toka wapo form five hgl, kakubaliwa jamaa kashamaliza PhD.



Ni marafiki ambao tumesaidiana kutimiza ndoto zetu, kila mtu ana mchango kwenye maisha ya mwenzieMiaka 9 ulikuwa unajipanga nini!
Umesubiri hadi umeona jamaa katusua na hana mpango na wewe tena .Pole ila move on
#Niko upande wa huyo jamaa#
CHIMWEMWE, pole sana. Nakuomba PM mara moja. Nimeumia sana.
Huyo jamaa anatoa wapi ujasiri wa kukutesa na kukuumiza hivyo?
kweli wanaume tumebaki wachache na tupo tofauti sana.
Imefanyaje....Cresida?Mhhh hii I'd hii
Ina niniMhhh hii I'd hii
Kumbe amu yule mrembo cre......Imefanyaje....Cresida?