Dalili za kupenda kupita mipaka; ukiwa na tabia hizi faham kwamba unatoka kwenye Kupenda kawaida unaelekea kwenye kupenda kupita kiasi ( From love to loving too much). Ebu tupia na wewe mawazo yako
1. Mazungumzo; dalili mojawapo ya kupenda mtu sana ni kwamba ; unatamani kuongea naye kila wakati ila yeye hajali na ata anaweza kukaa muda mrefu bila kukutafuta na asione kama ni shida kwake.
2. Unajisikia kua mtupu ndani yamoya wako kabla ata ujakutana na mwenzi wako.
3. unatumia siku nzima kumfikiria mwenzi wako na kupanga mikakati ya jinsi kuongea naye
4. Unashindwa kumwambia mapungufu yake ili ajirekebishe kwa kuofia atakupiga kibuti, kwako wewe kila kitu anachokifanya ni sawa.
5. hutaki kusikiliza au kutendea kazi ushauri wa ndungu jamaa na marafiki kuhusu mpenzi wako.
6. Mkikutana wewe unazunguzia zaidi sana kuhusu mapenzi ila mwenzio ndo kwanza anasoma gazeti.
7. Zawadi kila mara ili ku secure your love, unaisi kwamba usipo mpa kitu atakupiga chini.
9. kila siku yeye ni mtu wa ku bip, ukimwongezea salio, anakutumia tafadhalii nipigie, au anaku bip.
10. Mtu yuko inje ya inchi kwa mfano marekani au ulaya hapigi simu ila wewe kila siku unaruka hewani tena kwa muda mrefu.
11; Mara presha, mara kuumwa ati kwa sababu hujamuona mwenzi wako.
12. Ikifika kwenye game (Sex) sasa hujuwi uanzenje..., mwenzio kila siku anatoa sababu. na akikupa ni goli moja tu. huku mwenzio anasoma gazeti.
13 Endelea...
1. Mazungumzo; dalili mojawapo ya kupenda mtu sana ni kwamba ; unatamani kuongea naye kila wakati ila yeye hajali na ata anaweza kukaa muda mrefu bila kukutafuta na asione kama ni shida kwake.
2. Unajisikia kua mtupu ndani yamoya wako kabla ata ujakutana na mwenzi wako.
3. unatumia siku nzima kumfikiria mwenzi wako na kupanga mikakati ya jinsi kuongea naye
4. Unashindwa kumwambia mapungufu yake ili ajirekebishe kwa kuofia atakupiga kibuti, kwako wewe kila kitu anachokifanya ni sawa.
5. hutaki kusikiliza au kutendea kazi ushauri wa ndungu jamaa na marafiki kuhusu mpenzi wako.
6. Mkikutana wewe unazunguzia zaidi sana kuhusu mapenzi ila mwenzio ndo kwanza anasoma gazeti.
7. Zawadi kila mara ili ku secure your love, unaisi kwamba usipo mpa kitu atakupiga chini.
9. kila siku yeye ni mtu wa ku bip, ukimwongezea salio, anakutumia tafadhalii nipigie, au anaku bip.
10. Mtu yuko inje ya inchi kwa mfano marekani au ulaya hapigi simu ila wewe kila siku unaruka hewani tena kwa muda mrefu.
11; Mara presha, mara kuumwa ati kwa sababu hujamuona mwenzi wako.
12. Ikifika kwenye game (Sex) sasa hujuwi uanzenje..., mwenzio kila siku anatoa sababu. na akikupa ni goli moja tu. huku mwenzio anasoma gazeti.
13 Endelea...