Kupatwa kwa Jua kesho

Kupatwa kwa Jua kesho

Hii ni executive mahakama inasakiziwa! Rejea barua ya Ombeni sefue
 
Tutaona kama itawezekana kupalilia na giza, potelea mbali na jua lipatwe!
 
Aisee,nilijua lile tukio lenyewe linakuja, ngoja nitafute negative ya kuangalizia nisije geuka nyani.
 
Bunge limekufa mahakama inatafuna nyama za kibudu cha bunge
 
Hapa mahakama imeenda chaka ukiangalia ibara ya 100 (1) na (2) ya katiba ya jamhuri ya muungano utagundua mapungufu ya uamuzi wa leo.
 
kama mtakumbuka form three zamani tulisoma power and sovereign of parliamentary
 
Ziara ya Jaji Mkuu kwenda kumtembelea Mzee wa Tezi imejibu! Sasa kesho tuone nani zaidi, nani kupanda nani kushuka na nani king'ang'anizi!
 
nakumbuka chenge alionekana akiroga bungeni. Kwa Sasa atatumia iwana sheria wake wote
 
Hapo ni wazi, mahakama imeingilia bunge! Bunge kama litakubali huu upuuzi nitashangaa sana!
 
Hivi hao majaji ni kina nani? Tunapaswa kuwafahamu. Ipo siku nchi itavamiwa na na waliotuvamia watapeleka zuio mahakamani kuwa JWTZ ISIJIBU MASHAMBULIZI hadi hapo shauri la msingi litakapozungumziwa mahakamani kwa hiyo wacha watuchape tuu.
 
Hivi kwa nini bunge lisipige kura ya kutokua na imani na raisi?

Huo ndio ulikuwa uamuzi wa msingi ambao ulipaswa kufanywa na Bunge. Lakini kwa vile Bunge limejaa manywanywa wameshindwa kutumia uwezo waliopewa na katiba.
Hivi kulikuwa na haja gani ya kuleta mijadala bungeni kama wizi umetokea? Rais angeweza kuwapiga chini wote waliohusika kwa kutumia ripoti ya CAG na PCCB na kuamuru washtakiwe bila kusubiri mijadala. Lakini yeye amebaki kucheka cheka tuu.
 
Back
Top Bottom